Hongera sana Mheshimiwa Raisi Tunakupenda kwa kuongeza soko la ajira Wasiojitambua hawawezi kujua lakini Wewe ni Kiongozi imara na Shujaa Wanaotaka Kutugawa Washindwe,Tanzania sasa mbele kwa mbele Kazi iendelee
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja ni kweli Ameanza game vizuri kwanza kwa kutoa Waliokuwa Wanatugawa kwa kuwaweka pembeni kwanza sehemu ambazo Hawatasikika sana hasa wenye kauli za Kibeberu,Watanzania Wanyonge na Maskini na Wataalamu wa kusifu na kuabudu ni alert kwamba Mheshimiwa hapendi sifa na mihemko
Huu Uzi umenifungua macho maana ninayopitia ni magumu mno tangu mwaka jana Nilivunjiwa ofisi yangu nikaibiwa huku Mbagala Mwenye nyumba akanipeleka sehemu kwa Mtaalamu Sikufanikiwa chochote, Mzee mwingine akanipeleka sehemu nyingine aisee nimerudi nyuma kinoma from hero to zero yaani nimechakaa...
Makamanda baadhi Waache upotoshaji hajafa kwa covid kifupi alipata ajali akawa anatibiwa muhimbili msiba upo Mbweni na kesho Nitakuwepo Kumuaga Shemeji Yangu Mtu poa sana sana sana miaka ya nyuma Tukimtembelea home Forest Anatuacha sebuleni Tunaangalia movie baadae Anatukaribisha msosi wa maana...
Mungu Akubariki hii ni comment bora sana bila shaka Uliyeandika ni Mtu mwenye roho nzuri sana Umemaliza kila kitu Mungu ni mwema Atafanya njia pasipo na njia
Mimi iliwahi Kunitokea sio tinder wala Badoo kuna Demu alinipa namba ya simu ya Rafiki yake sababu hakuwa na simu,katika kuwasiliana Nikaunga kwa huyo Rafiki yake akakubali Nikamwalika kitaa ilikuwa pale mbuyuni Kinyerezi Kanipigia simu Nimeshafika Kumuona Nilijuta kuzuga ikabidi Kumuagizia...
Mkuu hongera sana tafadhali andika makala kabisaaa kuhusu hili, Watanzania ni wavivu asikwambie MTU. Tunapenda mteremko, binafsi niliwahi kufanya kazi Kwa wahindi sababu ya kuona kazi ngumu nikawa nafanya pole pole. Muhindi mmoja anaitwa Ridhwan akaniambia si ulitaka kazi hii ndio kazi tangu...
Wakuu vp kuhusu chakula hapa Tumezoea ugali,samaki,kuku,wali,ndizi nk huko mbelembele inakuwaje na juice je au Mikate inatest kama Mikate Yetu au? piaukitaka kununua midudu ya Kizungu inakuwaje Anijibu Yoyote mwenye Uzoefu na safari
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Binafsi Nilikuwa Nawaogopa lakini Nilipoonja siku moja Nikagundua ni watamu balaa tena hata mechi ya Nyumbani haigusi tena Nikimwona mchana Najiona sistahili lakini ni noma
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wahuni sio Watu Nakumbuka Kulikuwa na mechi za kirafiki za mpira wa miguu Shule za secondary Arage,Southern Highland,Sangu nk Tukaenda kuuza sura kama kawaida Yetu wakati wa mapumziko Tukawa Tunapiga story na mchuchu flani ghafla Wanafunzi waliopinda ambao sijui alikuwa demu wao wakiwa wamelewa...
Nimekubali CCM ina wenyewe na wenyewe ndio Hao Wamerudi Prof Kapuya,January Makamba,Nape,Abass Mtemvu,Zungu,Ridhwan,Salma Kikwete,Magreth Sitta,Jerry Slaa nk sijui Utamkata Nani umuache Nani Wameshinda kwa kura nyingi mno
Kaka Umeongea kwa uchungu Mkubwa sana na Umewakilisha kilio cha Watu Wengi kwa tathmini ya haraka CCM ina wenyewe ndio Hao Wamerudi tena kwa kura nyingi Prof Kapuya,Magreth Sitta,Jerry Slaa,Mama Salma Kikwete,Ridhwan,Mtemvu nk Nilitegemea kuhesabu kura kwa uwazi ingewabeba Vijana lakini imekuwa...
Huu uzi Nashindwa kuelewa utamu unakuja utamu unakata ni mzuri kama mtoa mada angejibu papo kwa papo lakini anachukua muda na anajibu kiaina hata haijapendeza hopefully atajipanga upya kama alivyosema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.