Rais Samia ni nyota inayong'aa

Ujue wakati unaongea mambo ya kipuuzi kuna watu wanakuangalia kwa sura ngumu? Huu upuuzi peleka Facebook! Si wengine hatumuelewi huyo mtalii.
FB_IMG_1628011540438.jpg
 
Hongera sana Mheshimiwa Raisi Tunakupenda kwa kuongeza soko la ajira Wasiojitambua hawawezi kujua lakini Wewe ni Kiongozi imara na Shujaa Wanaotaka Kutugawa Washindwe,Tanzania sasa mbele kwa mbele Kazi iendelee

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
Unayumiwa na wachawi Asante Sana.
RIP kamanda Hamza

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
Kama hujalogwa basi labda una utapia mlo
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
Sawa
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
Labda sigara nyota
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
Hivi kuna nchi duniani isiyokuwa na watu kama hawa, wa aina ya mleta mada hii?

Nchi hiyo itakuwa ni ya kipekee kabisa!

Ila hapa kwetu wamekuwepo wengi mno kuzidi kiasi!
 
Hivi anajisikiaje, anaishije,analalaje huku kuna watu wako magerezani kwa makosa ya kutunga?
Hili litakuwa limemgharimu kiasi kikubwa mno kuliko alivyotegemea.

Sasa anahangaika kutafuta njia za kufunika na kulimaliza ili aondoke bila kuwa na makovu. Haitawezekana.
 
Hakika....aaamin aaaamin🙏

HANGAYA WETU eeee.......


✓TAMISEMI+WIZARA YA AFYA ikaajiri vijana zaidi ya 8000 baada ya miaka mingi kupita.......

✓Tozo ya 6% ya HESLB ikafutwa kwa wanufaika wa mikopo hiyo ya elimu ya juu........

✓Kukaongezwa FEDHA katika mfuko wa HESLB(bodi ya mikopo ya elimu ya juu) ili iwapatie wanufaika wengi zaidi.......

✓Watumishi wa umma na KUPANDISHWA MADARAJA baada ya kupita miaka mingi.......

✓Watumishi wa umma na kuahidiwa kuongezewa MISHAHARA ifikapo mwaka wa bajeti 2022/2023........miaka mingi imepita.....

✓Watumishi zaidi ya 3300 waliofukuzwa warudishwa kazini baada ya KUJIENDELEZA ELIMU YA KIDATO CHA 4....

✓Bilioni za kutosha akaziingiza kwa Dr.Masanja Kadogosa ili kumalizia SGR.......

✓Bilioni za kutosha zimeendelea kuingizwa kwa ARAB CONTRACTORS na washirika wao ili kumaliza BWAWA LA KUFUA UMEME MWALIMU NYERERE......

HANGAYA
HANGAYA
HANGAYA.....

Aaah HANGAYA wetu eeeee.......😍👋👋👋👋

HAKIKA NI NYOTA ING'ARAYO

#SiempreChiefHangaya
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.

Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.

Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 Milioni kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19

Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.

Chini ya uongozi wa Chifu HANGAYA Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.

Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.

Chifu HANGAYA, hapoi, yeye anasema Kazi Iendelee

#TwendePamoja na Rais Samia Suluhu HassanView attachment 1929640
😍💪👊👍🙏
 
Machifu zaidi ya MAKABILA 100 wamemsimika CHIFU MKUU CHIFU HANGAYA.......

Chifu wake ERYTHROCYTE alikuwepo ........

Chifu wake BAK alikuwepo.......

Chifu wake BRAZAJ alikuwepo......


Chifu wake mtunduizi Mshana Jr. alikuwepo............


#SiempreChifuHangaya
#SiempreSSH
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom