Uchaguzi 2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

Nimekubali CCM ina wenyewe na wenyewe ndio Hao Wamerudi Prof Kapuya,January Makamba,Nape,Abass Mtemvu,Zungu,Ridhwan,Salma Kikwete,Magreth Sitta,Jerry Slaa nk sijui Utamkata Nani umuache Nani Wameshinda kwa kura nyingi mno
 
Kwa hii video makonda bado ana nafasi.
 
Siku kuna taarifa mwenyekiti wenu anaongeza muda wa kukaa madarakani, ndio maana anapanga team yake na yeye ili akabadilishe katiba, ndio maana mnaweka kwenye ilani yenu ya chama, kwa hiyo hayo mafisadi wenu huko chama chenu hawatapata nafasi ondoa hofu.
 
Huo ndo ukweli Sasa,walikua wanajijenga chini chini huku wakijidai kuomba msamaha kwa wale viranja wao,JPM alikua anawasamehe kibinadamu kumbe wao Wana lengo lao tu.

NASEMA HIVI,KATIBU MKUU ALLY BUSHIRI HII NDOKAZI YAKE. NGUMU NA YAUMAKINI AMBAYO ANATAKIWA KUIFANYA ZAID TANGU ATEULIWE.Haya mafisadi ndiyo yaliyotufikishapabaya kiasi hata CCM kuchukiwa kila Kona,Sasa chama kila mtu anakitaka baada ya Rais Magufuli kukirudisha kwa wananchi kumbe wenginne bado wanaendelea na mipango yao ya chini kwa chini.
Nilikuwa nakula sasa nimeacha ghafla kusikia sasa chama chini ya Magufuri kinapendwa.
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
atleast leo umeongea point, na wewe unaweza kuonekana 'mutu'
 
Wewe makonda saizi ni raia mwema 😂, ukikataliwa tulia Kuna maisha nje ya uongozi!!!
Wewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......
 
Wewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......
Mwambie aje kwako akuongoze na familia yako
 
Wewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......
Sema ulikuwa mnufaika wa uhuni wake
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
hao mafisadi.....
ni kina nani?
walikuwa convicted lini?
walikuwa convicted na mahakama ipi?

tukiweza kujibu haya maswali then wala hakuna haja ya kuwahofia 2025!
 
Back
Top Bottom