Maslows
Senior Member
- Jun 29, 2020
- 122
- 58
We
We ni Ke au Me... tuambieIla Makonda ana shape nzuri hasa akivaa skin jeans. Huwa ananikosha
We ni Ke au Me... tuambieIla Makonda ana shape nzuri hasa akivaa skin jeans. Huwa ananikosha
Hana lolote anataka mtu wake aongezewe mudaKwa hiyo unatu thibitishia kwamba huko ccm kuna mpasuko mkubwa sana?
Me ni Ndu gayWe
We ni Ke au Me... tuambie
Waliohukumi nani na kifupi?Wengi hiyo mikundi iliyohujumu CCM na Mifisadi na wafuasi wao wa hiyo mikundi wengi wamechukua fomu kutia nia ili kuongeza chances za kushinda!!! Kamati za kuchuja kazi kwenu
Kwa hiyo wewe nani?Achana na huyo muongo anayenifananisha na Makonda mimi kuna watu wameshanifananisha humu hadi kuniita Magufuli!! huwa nacheka tu
Nilikuwa nakula sasa nimeacha ghafla kusikia sasa chama chini ya Magufuri kinapendwa.Huo ndo ukweli Sasa,walikua wanajijenga chini chini huku wakijidai kuomba msamaha kwa wale viranja wao,JPM alikua anawasamehe kibinadamu kumbe wao Wana lengo lao tu.
NASEMA HIVI,KATIBU MKUU ALLY BUSHIRI HII NDOKAZI YAKE. NGUMU NA YAUMAKINI AMBAYO ANATAKIWA KUIFANYA ZAID TANGU ATEULIWE.Haya mafisadi ndiyo yaliyotufikishapabaya kiasi hata CCM kuchukiwa kila Kona,Sasa chama kila mtu anakitaka baada ya Rais Magufuli kukirudisha kwa wananchi kumbe wenginne bado wanaendelea na mipango yao ya chini kwa chini.
Mimi sio Bshite wewe
Achana na huyo muongo anayenifananisha na Makonda mimi kuna watu wameshanifananisha humu hadi kuniita Magufuli!! huwa nacheka tu
atleast leo umeongea point, na wewe unaweza kuonekana 'mutu'Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025
Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025
Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Wewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......Wewe makonda saizi ni raia mwema 😂, ukikataliwa tulia Kuna maisha nje ya uongozi!!!
Mwambie aje kwako akuongoze na familia yakoWewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......
Sema ulikuwa mnufaika wa uhuni wakeWewe hujuwi kitu kwenye medani za Uongozi....Makonda ni kiongozi mzuri sana sema tu ana hulka Fulani ya Misifa jambo ambalo linarekebishika.... Naumia sana anapokosekana kwenye uongozi nakumbuka na Kumiss ile amsha amsha yake......
VPN haitakusaidia kitu usiishi kwa Mazoea......!!!Mwambie aje kwako akuongoze na familia yako
hao mafisadi.....Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025
Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025
Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!