Vp mkuu unaelewa maana ya kuunga mkono au umesukumwa kuandika Hyo comment yako? Mtoa mada amesema yeyote anaye unga mkono wewe unaanza kuorodhesha vitu nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
sasa nina wasiwasi na elimu Mh. Mkumbo Hyo Dr. Labda itakuwa co sahihi yaani anataka kutuaminisha hajui mambo ya Zitto tangu mwaka 2009. He will not fool us. Ametumwa Huyu na lazima wanamlipa parefu
Kwani mtaji aliokuwa anautafuta haujatimia? ni bora ccm wa muongezee kutoka kwenye kodi za line tunazokatwa Kimya Kimya ili akafuge kuku na ng'ombe maana ndo kazi za wastaafu wengi vinginevyo anatafuta aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.