Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Yeye si amesema kwamba ana majina ya wenye fedha Uswis? Tunachotaka toka kwake ni atutajie tu hayo majina. Simple. Kama hana atuombe msamaha kwa kutudanganya kwa muda wote kuwa anayo majina ya walioficha hela Uswis,