Cjataka kuso mpaka mwisho kwa Hoja hii ndo nilikuwa naiwaza, naanda mpango ambao nitauombea kibari cha kufanya mikutano kila mkoa na wilaya nchi nzima ili tuwakilishe Hoja hii kwa bwananchi wenzetu kwani niwengi tunahitaji iwe hivyo, kwanza tumuombe JPM km atakataa basi Hakuna mwingine zaidi ya...
Kweli kabisa ley, hata juzi tuliona baadhi ya wabunge waliokuwa wakimponda kikwete wakimshangilia bungeni na kutamka tumekumiss, lkn ndo waliosema serikari ya jk legelege,dhaifu,wa nataka rais wakuinyoosha nchi, Nikweli binadam mmoja ana roho saba. Bongo move simamieni na kudai haki yenu kwani...
HABARI MPYA !!!! Manaraa kasema TFF wamefanya mbinu za kumfungia ili asibutue bakuri la mboga(kuanika uozo wa TFF) sasa kaahidi kuwa wasipobadirisha maamuzi hyo ndani ya 24hrs, badara ya kubutua ATALIFUMUA bakuri hilo..
Kama alijua hilo amepost ya nini?? IPO cku atapost akiwa anaogerea , chademaa ni chama cha wahuni! Hata Wanawake anaowaongoza cjui km wameiona hii picha, ckila kitu unaweza kuweka hadharani! Hawatofautiani na aliyepita juu ya matako ya mama zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.