FL1 umeleta issue ambayo kwa kweli ipo, hasa kwa miaka hii ambayo ndugu zetu hawa vyuoni wanabuni njia mbadala za kufaulu, maana kusoma siyo option ambayo wangependa kuitumia. Kwa kweli inasikitisha, but the only way we can end this ni kuwa na that kind of professors.
Sawa nitataka anieleze (for the purpose of getting educated), but siwezi endelea kuchovya asali kama tayari jamaa mwingine anachovya. mwache aendelee kuchovyeshana na huyo jamaa
I think pamoja na kuwa watu wana kaimani kuwa wivu kwa mwanamke suna, but wengine (kama huyo) wanapitiliza, kiasi cha kuanya tudhanie kuwa wana'pretend'. You travel on an official trip, then kila saa simu. Hadi inakuchelewesha kumaliza hizo duties. Matokeo yake unachelewa kurudi, to her...
YoYo from what I read in your comments it's like you want to make people believe that NBAA wana idadi au age limit ya watu kuwa CPAs. I'm not personally going to subscribe to that because I have done the exams myself and I had to change my original position on the matter. hata mie nilikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.