Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Wadau jamaa yangu wa karibu kaniomba ushauri: Anasema memsahib wake ana wivu wa kupindukia,kafikia hatua sasa majuzi kachukua wembe katoboa toboa kufuli zote za mzee kisa eti eti aone aibu kwenda kwa vimwana na kufuli zenye matobo,na kamwambia ole wake azishone au kununua mpya. Kana kwamba hiyo haitoshi kila akirudi si ruksa kusalula bafuni shurti achojoe chumbani mbele ya bi mkubwa na inuswe kama ina harufu yoyote ya kifisadi!Wadau muungwana kaniomba ushauri nimwambie nini?
Last edited: