Recent content by Sholam

  1. Sholam

    April 29 mwaka huu, dunia itaponea chupuchupu kugongana na kimondo

    Nnachojiuliza kwann hilo tukio litokee siku yangu ya mfanano wa kuzaliwa 29/04 yani kwanini hii tarehe..........
  2. Sholam

    Je, ulishawahi kumgegeda mtu au kugegedwa na mtu ukajutia?

    Mkuu bado napitia comment ntarudi badae kidogo.....
  3. Sholam

    Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

    Mkuu ckuwahi kupokea matunzo afu mie nlikuwa naogopa kumuomba hela nilikuwa nahisi ataniona mm napenda hela, basi buana hela cpewi matunzo cpati lakini akibanwa tu cmu hii hapa eti njoo nimekumic kweli,,, pumbavu kweliiii nikamkimbia zangu
  4. Sholam

    Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

    nilkuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja, yule kaka jamani alikuwa napenda kufanya mapenzi khaaaaaa, yani atakupigia cmu anapojickia kufanya tu, lakini hawezi kukupigia cmu eti akujulie hali thubutuuuu nlikua nkiona cm yake tu jua unaitiwa mjegeje khaaaaaaa nikasema cfanyi upumbavu huu hakuna cku...
  5. Sholam

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    29 April Twin nakusubiri kokote uliko........
  6. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😆😆
  7. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ni kweli
  8. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ndio nlikuwa namuelewa kabisa sema hakuwahi kunitamkia lolote zaidi ya ushikaji tu tulikuwa nao.... Mpka cku tunda lilipoliwa ndio kila mtu akaanza kusema ya moyoni
  9. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😆😆😆😆 Kumbe ni weye uko huku, akuu saivi mie nshasahau kucheza karata
  10. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😆😆😆 nianze kwa kucheka kwanza maana huu uzi umenifurahisha nimesoma comment weee mpka basi..... Nafikiri mm ndio nikiliwa cjui kimasihara cjui kiutani cjui niitaje kisa KARATA tu,, kuna kijana mmoja tulikuwa tumepanga nyumba moja bac tulikuwa washikaji tu story za hapa na pale yani fulesh tu...
  11. Sholam

    Mwanamke epuka mwanaume anaekupaka mate

    😆😆😆😆😆😆 Aseeh nimecheka sana
  12. Sholam

    KISUTU: Kizimbani kwa tuhuma za kulawiti na kusambaza picha za ngono

    😆😆😆😆😆😆😆 Basi na sisi mtuweke kwenye hayo makundi ili tuzipate hizo connection, kama mm hiyo Habari ndio nimeickia jana ckuwa najua chochote kile 😆😆😆😆😆😆
  13. Sholam

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hiyo ya kujilipia mahari nimeipenda 😆😆
  14. Sholam

    Tupia jina la kocha wa timu yoyote anayekaribia kufukuzwa kazi

    Kocha wa YANGA Mwinyi Zahera
  15. Sholam

    Ndoto yangu nikuajiliwa serikalini ngazi ya afya lakini nipo chuo cha private

    Usitake kushuka kwenye Gari kabla mwendo haujapungua, taja kituo unachotaka kushuka subiri gari lisimame lipa nauli afu shuka, hii namaanisha,,, soma kwanza, napa ufaulu mzuri then usubiri nini kifuatacho sawa.......
Back
Top Bottom