Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Nipo chuoni mwaka wa kwanza nilikosa chuo cha serikali lakini saiv Niko chuo cha private nasomea utabibu nategemea kuajiriwa serikali nisadieni kulingana na uzoefu wenu
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani