Mwanamke epuka mwanaume anaekupaka mate

Hakuna sehemu yenye vijidudu vya magonjwa Kama mdomoni.
Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate Jambo ambalo linawaacha wanawake wengi na maradhi ya ukeni baada ya tendo. Na hatuelewi Ni kwanini maana huko panalainika penyewe
Wanaume eleweni mnapotuwekea mate tunaenda kupata hasara ya kujitibu fangas na bacteria .mbaya zaidi hata hiyo hela hamtoi.
Kama unaona haingii bila mate jua hiyo sio size yako acha tafuta ingine.


Tuma order karibu tukuhudumie
Mmmmm wewe ni kiboko!
 
Mdomoni hakuna vidudu,hata kimoja, ni salama kabisa, labda awe na ukimwi. au oral thrush, but maumivu yake hatatamani hata kugegeda, kucheka tu ni taabu hawezi tongoza pia, sirini kwa ''ke'' ndiyo kuna bacteria aina ya dodlain bacilli. trichomonas vaginalis nk

usijiteteee ki hivyo, ke ndo mnatoa magonjwa ya fungus kwa me. rudi kasome upya nina mashaka na elimu yako yaani elimu fake, ambayo ni hatari kuliko ignominious yenyewe.
 
Muandamane kupinga hili
Hakuna sehemu yenye vijidudu vya magonjwa Kama mdomoni.
Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate Jambo ambalo linawaacha wanawake wengi na maradhi ya ukeni baada ya tendo. Na hatuelewi Ni kwanini maana huko panalainika penyewe
Wanaume eleweni mnapotuwekea mate tunaenda kupata hasara ya kujitibu fangas na bacteria .mbaya zaidi hata hiyo hela hamtoi.
Kama unaona haingii bila mate jua hiyo sio size yako acha tafuta ingine.


Tuma order karibu tukuhudumie
 
Early in the morning unawaza kupakwa mate...!!
Yani unasahau kwamba watu tupo makazini na unatutoa kwenye mstari....
Kama Upo kazini umefikaje kwenye mitandao tena kwenye thread kama hii....
Na kingine hujaitwa
 
Back
Top Bottom