Wangejua mm ninavyo zichukia,,,,, kwanza 'n feki na 'n bandia,, nazo zifungiwe tuuu maana Zina ficha vichwa vya watu mpaka tuna shindwa kuchagua wake wa kuoa,,, aaaah.
In fact kauli hii sio nzur kwa taifa letu.... 'n ya kibaguz. Kuwa Tajiri sio kuwa adui wa serikali cha msng hapo matajir walipe kodi na kumaintain huo utajir wao uwe halali sio haramu.. Kauli hii itatupeleka kusiko julikana.
Suala sio kuficha sukar,, tujiulize swali kwamba,, Kwann wafiche sukar??? Mara ngapi wame fanya ivo???? Malengo Yao 'n nn??? Hapo ndipo penye majibu sahihi huenda wako right au wrong.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.