Recent content by shiwai salum

  1. S

    Huyu ndiye mtoto wa kwanza wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere

    Jaman Kuna ukweli wowte juu ya hiyo Mada..
  2. S

    Nimepata marafiki, asante JamiiForums

    Mashart uliweka mengi mno mpaka nikaogopa...
  3. S

    Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

    Wangejua mm ninavyo zichukia,,,,, kwanza 'n feki na 'n bandia,, nazo zifungiwe tuuu maana Zina ficha vichwa vya watu mpaka tuna shindwa kuchagua wake wa kuoa,,, aaaah.
  4. S

    Bachelor of Arts with Education vs Bachelor of Education

    Demba ww,,, hata maelezo yako yana ukakasi
  5. S

    Ukisoma HGE ni lazma ufanye Hisabati

    Huyo 'n kilaza wa nguvu kabisa,, hge lazima usome Bam...
  6. S

    Kauli hii ya Rais Magufuli kuchaguliwa na masikini

    In fact kauli hii sio nzur kwa taifa letu.... 'n ya kibaguz. Kuwa Tajiri sio kuwa adui wa serikali cha msng hapo matajir walipe kodi na kumaintain huo utajir wao uwe halali sio haramu.. Kauli hii itatupeleka kusiko julikana.
  7. S

    Wanaomsifia rais Magufuli wasijisahau

    Nime penda threat hii,, mpo wapi jaman mwendelee??
  8. S

    Rais Magufuli amelipua nyumba kuua panya aliyemo ndani!

    Suala sio kuficha sukar,, tujiulize swali kwamba,, Kwann wafiche sukar??? Mara ngapi wame fanya ivo???? Malengo Yao 'n nn??? Hapo ndipo penye majibu sahihi huenda wako right au wrong.
  9. S

    Nimekutana na Jini?

    Hakika ume kutana na jini tena mahaba,,, nenda ukaombe litakutokea frequently.
  10. S

    Ushauri: Rais Magufuli mfutie kesi kijana huyu

    Inaonekana 'n mdogo wako huyo sooo una mtetea,, pole.
Back
Top Bottom