Bachelor of Arts with Education vs Bachelor of Education

ngoja nijaribu kukujibu nnavyoelewa mimi,
B.A.edn hawa ni walimu wanaotarajiwa kufundisha shule za sekondari wakati B.E.D hawa wanaandaliwa kuwa walimu wa vyuo vya ualimu, ndio maana wao huwa wanasoma zaidi masomo ya edication kuliko teaching subjects. lakini kutokana na mahitaji ya walimu wa vyou kuwa madogo unakuta walimu hao hupangiwa kufundisha sekondari tu.
 
ukosawa kabisa bt kwa ushauri bed inakupa uwanda mpana zaid wa kuopt coz za kusoma in additional lk political science, project planing,community dvpnt, reseach, gender an human rights, management and admnstrtn et ambazo zinakuruhusu kusoma master without basing in education
 
Tofauti yke ni kwamba BA(ed) unakuwa na masomo mawili ya kufundishia say Economics and Geography wakati BED unakuwa na somo moja la kufundishia, na vile vile kwenye soko la ajira it's more economic to employ a teacher with two teaching Subjects BA(ED) rather than a single subject BED
 
Bachelor of arts with education (Baed) hii unasoma teaching subject mbili kulingana na masomo utakayopenda kuyafundish mfano (geo na hist)

Kisoko hii inafaida kwa sababu unauhakika kuaijiliwa popote either serekalini au private sector kwani unafundisha masomo mawili.

BED hii ndio ualimu pure kwani unasoma masomo mengi ya ualimu kuliko ya kufundisha. Na pia inategema umespecialise katika Nini. Mfano Bed in psychology, early childhood, au kuna ile ya BED commerce IPO UDSm....

Hasara ya hii koz ni kwamba kuna kipindi walikuwa hawaajiliw na serekali direct kutokana na wengi wao huwa hawasomi teaching subject au wanalomoja kutegemea na Bed IPI amesomea.

Kuna baadhi ya vyuo hii kozi ya BED wameifanyia modification kwamba MTU anakuwa na major teaching subject na minor Ili tuu kukidhi mahitaji ya soko.

Kozi ya BED ni mahsus kwa kufundisha vyuo vya ualimu. Ila vyuo vya ualimu ni vichache kuliko wahitimu Wa koz husika ndio màna soko lake limeshuka mnoo...vyuo vya ualimi vya private vipo ila ajira zake haziangalii sana BeD wanaajili yeyote yule BeD or Baed.


Kama unachagua coz IPI ya kusoma naweza kukushauri Baed. Ila kama umesoma HGE au EgM au ECA kama matokeo yako yanaruhusu omba BEd commerce udsm ukisoma hii utasoma teaching subject za commerce na accounts
Ni moja kati ya potential koz za ualimu kwa sasa.
You can be a teacher or other post related with accounts na commerce
 
Bachelor of arts with education (Baed) hii unasoma teaching subject mbili kulingana na masomo utakayopenda kuyafundish mfano (geo na hist)

Kisoko hii inafaida kwa sababu unauhakika kuaijiliwa popote either serekalini au private sector kwani unafundisha masomo mawili.

BED hii ndio ualimu pure kwani unasoma masomo mengi ya ualimu kuliko ya kufundisha. Na pia inategema umespecialise katika Nini. Mfano Bed in psychology, early childhood, au kuna ile ya BED commerce IPO UDSm....

Hasara ya hii koz ni kwamba kuna kipindi walikuwa hawaajiliw na serekali direct kutokana na wengi wao huwa hawasomi teaching subject au wanalomoja kutegemea na Bed IPI amesomea.

Kuna baadhi ya vyuo hii kozi ya BED wameifanyia modification kwamba MTU anakuwa na major teaching subject na minor Ili tuu kukidhi mahitaji ya soko.

Kozi ya BED ni mahsus kwa kufundisha vyuo vya ualimu. Ila vyuo vya ualimu ni vichache kuliko wahitimu Wa koz husika ndio màna soko lake limeshuka mnoo...vyuo vya ualimi vya private vipo ila ajira zake haziangalii sana BeD wanaajili yeyote yule BeD or Baed.


Kama unachagua coz IPI ya kusoma naweza kukushauri Baed. Ila kama umesoma HGE au EgM au ECA kama matokeo yako yanaruhusu omba BEd commerce udsm ukisoma hii utasoma teaching subject za commerce na accounts
Ni moja kati ya potential koz za ualimu kwa sasa.
You can be a teacher or other post related with accounts na commerce

Goodluck
 
Vip kuhusu ajira hawa wa bed wa somo mmoja wanaweza kupata ajira au wanaachwa,na kama wanaachwa s ni bora hiyo bed ikatolewa tu watu wasome bAED au kila insu ina umuhimu wake,maana vyuo ni vichache sana
 
mm nasoma hiyo coz so usibishe wakati nipo aeducation huku so mtu anaechukua bachelor of education in arts huyu ni pure teacher but anaesoma baed anauwezo wa kuchange falculty
 
Bachelor of arts with education (Baed) hii unasoma teaching subject mbili kulingana na masomo utakayopenda kuyafundish mfano (geo na hist)

Kisoko hii inafaida kwa sababu unauhakika kuaijiliwa popote either serekalini au private sector kwani unafundisha masomo mawili.

BED hii ndio ualimu pure kwani unasoma masomo mengi ya ualimu kuliko ya kufundisha. Na pia inategema umespecialise katika Nini. Mfano Bed in psychology, early childhood, au kuna ile ya BED commerce IPO UDSm....

Hasara ya hii koz ni kwamba kuna kipindi walikuwa hawaajiliw na serekali direct kutokana na wengi wao huwa hawasomi teaching subject au wanalomoja kutegemea na Bed IPI amesomea.

Kuna baadhi ya vyuo hii kozi ya BED wameifanyia modification kwamba MTU anakuwa na major teaching subject na minor Ili tuu kukidhi mahitaji ya soko.

Kozi ya BED ni mahsus kwa kufundisha vyuo vya ualimu. Ila vyuo vya ualimu ni vichache kuliko wahitimu Wa koz husika ndio màna soko lake limeshuka mnoo...vyuo vya ualimi vya private vipo ila ajira zake haziangalii sana BeD wanaajili yeyote yule BeD or Baed.


Kama unachagua coz IPI ya kusoma naweza kukushauri Baed. Ila kama umesoma HGE au EgM au ECA kama matokeo yako yanaruhusu omba BEd commerce udsm ukisoma hii utasoma teaching subject za commerce na accounts
Ni moja kati ya potential koz za ualimu kwa sasa.
You can be a teacher or other post related with accounts na commerce

Goodluck
nmependa maelezo yako
 
Njia rahisi ya kujua tofauti ni kuangalia silabasi zao. Ziweke sambamba ndo utajua ni majina tu au kuna la ziada wapi
 
Back
Top Bottom