Recent content by shivo01

  1. shivo01

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nakumbuka mwaka 2003 hadi 2005 ilikua tupo mbeya tunasoma A level shule moja iko nje ya mji kidogo. Kutokana na kipindi chetu A level kufanya mtihani mwezi wa 3 watu wengi tulihama hostel na kwenda kupanga nje(mageto). Kutokana na uhuru wa kuishi geto mara nyingi kila wkend lazima tuende disco...
  2. shivo01

    JamiiForums Tanzania Vice Chancellor UDSM huku anafika mbali

    Hii system ya dress code nakumbuka ilianzia SAUT aliileta fr. Mmoja anaitwa Mwanjonde naona nwdays karibu vyuo vyote wameamua kufanya hivyo
  3. shivo01

    JamiiForums Tanzania Mchekeshaji na Mtangazaji wa EA Redio, Zembwela atiamkia Wasafi FM

    Kama yule King smash kacover vizuri sana nafasi ya sammisago kwenye enewz aisee
  4. shivo01

    JamiiForums Tanzania Mchekeshaji na Mtangazaji wa EA Redio, Zembwela atiamkia Wasafi FM

    Alivyoondoka mussa hussein watu walisema hivyo hivyo bt pengo likazibwa kile chuo cha mafunzo watapata tu mbadala
  5. shivo01

    JamiiForums Tanzania Mchekeshaji na Mtangazaji wa EA Redio, Zembwela atiamkia Wasafi FM

    Namzungumzia sam Misago naona hata kwenye website yao wameshamtoa
  6. shivo01

    JamiiForums Tanzania Mchekeshaji na Mtangazaji wa EA Redio, Zembwela atiamkia Wasafi FM

    Kama yule jamaa king smash naona kafiti vizuri sana kwenye enews ya sam misago nayeye sijui ndo katimkia huko
  7. shivo01

    JamiiForums Tanzania Prison Break vs Money Heist

    Yaan kama agent Alex mahone angekuwepo kwenye money heist wale jamaa wote wangekamatwa mapema sana na series ingeishia season 1.over....
  8. shivo01

    JamiiForums Tanzania Ukijiona mvivu wa kutoa papuchi yako tafadhari sana usitake ndoa

    Ila wa hivi kumegewa ni rahisi sana aisee mwanamke anayependa ngono ni hatari sana aisee
  9. shivo01

    JamiiForums Tanzania Biospetic co.ltd wataalamu wa system za choo za kisasa

    Karibuni TANZANIA SEPTIC SOLUTIONS tuwapatie ushauri na kuwajengea mfumo wa choo wa kisasa ambao hautajaa katika kipindi chote cha matumizi yako...tupigie au whatsap namba 0715995106 au 0682537860 kwa maelezo zaidi tuje tutembelee site yako kwa gharama zetu ndani ya Dar es salaam. 1. Shimo...
  10. shivo01

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop na Flash 64GB 250,000

    Hayo matatizo ni yapi mkuu yaweke wazi..
  11. shivo01

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop na Flash 64GB 250,000

  12. shivo01

    JamiiForums Tanzania Tumewahi kutafakari hata kwa dakika moja siku upinzani ukifa tutakuwa kwenye hali gani sisi wananchi wa kawaida?

    Kuna kitu watawala wanajisahau kwa kudhani upinzani ni cdm, au cuf au mbowe au zitto na kusahau kwamba upinzani ni fikra na huwezi kuzima fikra za watu wote ila unaweza kuizima cdm, cuf au mbowe, zitto na wengineo bt huwez kuzima fikra za watu mioyoni mwao
  13. shivo01

    JamiiForums Tanzania Nimejisikia kumgiftisha shemeji/wifi yenu

    Hapo hatari kabisa onesmo yupo vizur sana na hiyo pilipili yao ya sasahivi ni balaa mkuu
  14. shivo01

    JamiiForums Tanzania Sitokaa niwasamehe wazazi wangu kwa kunikatalia kumuoa binti niliyempenda kisa tofauti zetu za Dini

    N naona mkuu jamaa kakukwaza kabisa aisee
Back
Top Bottom