MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
E.A radio/Tv inazalisha vichwa tu. Sijui nani pale ndio mwenye macho ya kuvuta vipaji na kuvitengeneza ...Hakika leo Zembwela amehamia Wasafi lakini ma-boss wa IPP hawajatoka povu kama ilivyo E Fm kwa Sebo, ila siyo Majizzo.
Yaani East Africa Radio ina watangazaji wazuri mno; wakiondoka bado wanakuja wazuri. Kifupi hawatetereki kama milima ya Uluguru.