Kuna kikanisa kimoja UCHWARA jirani yangu kilitaka kutuchezea hivyo hivyo.
Nikawafuata na kuwaambia kama mna vimaombi vyenu UCHWARA anzeni asubuhi hadi saa tano USIKU iwe mwisho.
Matokeo yake wakawa wanaanza saa TANO usiku hadi saa tisa au kumi alfajiri
Nilichofanya ni kwenda Karia koo na...
NI UJINGA.
Afisa habari wa wizara ni wakukosa kiingio cha elfu tano kuingia mwenyewe uwanjani?.
Au ni LAZIMA?
Vipi kwa atakaekataa kwenda pamoja na kulipiwa?.
Ataadhibiwa?
Kama uko DSM Nenda msimbazi centre kuna Bar kibao na wahudumu ni hao masist..
Eti alivyokuwa anatizama sehemu ya kukaa na kulivuta gauni lake ukaona nusu ya kasura kake,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.