Nawasalimu nyote!
Nianze moja kwa moja kutaja mambo ambayo muziki umechochea katika Jamii, upande Hasi na upande chanya
1. Reggae
Imechochea Imani ya Upendo na Amani miongoni mwa vijana
Imeplay role kubwa ktk mapambano dhidi ya unyanyasi wa mzungu kwa mwafrika!
Imemsaidia kijana mwafrika kujenga ujasiri wa kutukuza uafrika wake(CHANYA)
Ilichochea uvutaji bangi na kutojithamini ktk usafi (HASI)
2. Dance
Ilichochea maadili ya kijamii, yaani kazi, heshima, malezi ya watoto, mapenzi Bora ktk ndoa n.k
Pia kuhamasisha siasa na ujenzi wa Nchi (CHANYA)
3. Hip hop
Imechochea uanaharakati kupambana na maovu kwenye Jamii (CHANYA)
Hip-hop imeongeza uhuni kwa vijana
Uvutaji bangi na matumizi ya madawa ya kulevya (HASI)
4. Bongo Flavor
Imeleta romantic love kwa vijana! Kabla yake mapenzi hayakuwa romantic
Maneno, I love you, I miss you, yameongezeka miongoni mwa vijana,
Vijana Sasa wanajua kupiga kiss n.k (CHANYA)
Imeongeza zinaa,
Imesababisha zinaa kuonekana Jambo la kawaida kwenye Jamii (HASI)
5. Taarabu
Inachochea heshima ya ndoa, hasa heshima ya mwanamke kwa mumewe
Taarabu inachochea usafi na mwonekano wa heshima kwa mwanamke
Ni darasa la kuonyana baina ya wanawake
(CHANYA)
Inachochea migogoro, fitina, usengenyi baina ya wanawake (HASI)
6.Kwaya za dini
Zinaongeza Imani ya dini kwa wahusika (CHANYA)
Nyimbo hizi zimechangia wanadini kutapeliwa na kutiwa umaskini na Manabii, mitume na wachungaji! ( HASI)
7. Singeli
Muziki wa hovyo kabisa
Sijaona uchanya wake
Muziki huu unaeneza uzinifu kwa Hali ya juu
Unaeneza Ushoga,
utakuta waume wanacheza singeli wamebinua matako!
Unaeneza ulaji wa tigo kwa vijana!
Ishu za kulana tigo zilikuwa Siri ya chumbani lakini Sasa Singeli imekuwa ajenti
Muziki huu usio na tija Ni wanini kwenye Jamii yetu!?
Huu ulitakiwa upigwe ban!!
Nianze moja kwa moja kutaja mambo ambayo muziki umechochea katika Jamii, upande Hasi na upande chanya
1. Reggae
Imechochea Imani ya Upendo na Amani miongoni mwa vijana
Imeplay role kubwa ktk mapambano dhidi ya unyanyasi wa mzungu kwa mwafrika!
Imemsaidia kijana mwafrika kujenga ujasiri wa kutukuza uafrika wake(CHANYA)
Ilichochea uvutaji bangi na kutojithamini ktk usafi (HASI)
2. Dance
Ilichochea maadili ya kijamii, yaani kazi, heshima, malezi ya watoto, mapenzi Bora ktk ndoa n.k
Pia kuhamasisha siasa na ujenzi wa Nchi (CHANYA)
3. Hip hop
Imechochea uanaharakati kupambana na maovu kwenye Jamii (CHANYA)
Hip-hop imeongeza uhuni kwa vijana
Uvutaji bangi na matumizi ya madawa ya kulevya (HASI)
4. Bongo Flavor
Imeleta romantic love kwa vijana! Kabla yake mapenzi hayakuwa romantic
Maneno, I love you, I miss you, yameongezeka miongoni mwa vijana,
Vijana Sasa wanajua kupiga kiss n.k (CHANYA)
Imeongeza zinaa,
Imesababisha zinaa kuonekana Jambo la kawaida kwenye Jamii (HASI)
5. Taarabu
Inachochea heshima ya ndoa, hasa heshima ya mwanamke kwa mumewe
Taarabu inachochea usafi na mwonekano wa heshima kwa mwanamke
Ni darasa la kuonyana baina ya wanawake
(CHANYA)
Inachochea migogoro, fitina, usengenyi baina ya wanawake (HASI)
6.Kwaya za dini
Zinaongeza Imani ya dini kwa wahusika (CHANYA)
Nyimbo hizi zimechangia wanadini kutapeliwa na kutiwa umaskini na Manabii, mitume na wachungaji! ( HASI)
7. Singeli
Muziki wa hovyo kabisa
Sijaona uchanya wake
Muziki huu unaeneza uzinifu kwa Hali ya juu
Unaeneza Ushoga,
utakuta waume wanacheza singeli wamebinua matako!
Unaeneza ulaji wa tigo kwa vijana!
Ishu za kulana tigo zilikuwa Siri ya chumbani lakini Sasa Singeli imekuwa ajenti
Muziki huu usio na tija Ni wanini kwenye Jamii yetu!?
Huu ulitakiwa upigwe ban!!