Mh.mwigulu,mawazo yako/yenu yako sahihi sana nadhani chaguzi ndogo zitakuwa zimepata ufumbuzi muafaka,pia ongera sana maana wewe mmoja unatetemesha chadema na viongozi wao wote,big up bro.
Tuache kutetea ujinga jamani,si kweli kuwa kuchelewa kwa mikopo ndio sababu,mi nipo mtwara kwa miaka mingi,nimepata ufahamu wa tatizo hili kupitia wanachuo wa saut,hanasa ndio sababu kubwa ya tatizo hili,huku wanajiuza tena kwa kukulazimisha kabisa.
Sasa baba v,matusi hapo ni yapi?hivi mtu anakurupuka na kushawishi watu kufanya fujo wewe na uelewa wako unaona wapo sawa?wangesema haya waislam tungeanza kusema wahajasoma,wamesema chadema wako sawa siyo?watu wanadai kulia na kucheka zote kelele.
Chadema bhana!unajua munatakiwa kujiuliza swali hili,wewe umeoa na mkeo ana picha nyingi za mwanaume,ukimuuliza ile picha ya nani anasema ya boyfriend wake wazamani ukimuuliza ni zanini kwa sasa anajibu kaweka tu kama kumbukumbu,wewe utaelewaje?
Dah! Tanzania yetu sasa inakuwa ni mali ya wahuni fulani,inamaana CHADEMA wanadhani sie mabwege?
Wao wanataka wao wawe dini yetu,wao wawe miungu yetu,walimu wetu wanataka watuendeshe wanavyotaka,waende Kilimanjaro wakatawale huko wehu wao.
Muulize haya pia Dr. Slaa,anauchukuliaje udini ndani ya CHADEMA?
Anajisikiaje kuona vyeo vinatolewa kutokana na undugu ndan ya CHADEMA?
Anajisikiaje kuongoza chama chenye waropokaji wasio na nidhamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.