Recent content by SHIP

  1. S

    Majimbo haya nayo yagawanywe

    Mh.mwigulu,mawazo yako/yenu yako sahihi sana nadhani chaguzi ndogo zitakuwa zimepata ufumbuzi muafaka,pia ongera sana maana wewe mmoja unatetemesha chadema na viongozi wao wote,big up bro.
  2. S

    Mkakati huu wa serikali ya CCM ni hatari kwa CHADEMA

    Sixgates,umesema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza,unaiweka fungu gani chadema na m4c?
  3. S

    Elimu yetu: Kuuza miili UDOM ni matokeo...

    Tuache kutetea ujinga jamani,si kweli kuwa kuchelewa kwa mikopo ndio sababu,mi nipo mtwara kwa miaka mingi,nimepata ufahamu wa tatizo hili kupitia wanachuo wa saut,hanasa ndio sababu kubwa ya tatizo hili,huku wanajiuza tena kwa kukulazimisha kabisa.
  4. S

    CNN: Dr. Slaa awa gumzo na hatari serikalini Tanzania

    Ukiwafuatilia kwa makini maoni ya wana chadema utajua tu kuwa wengi ni bendera na wajinga wao wengi wamo humu jf
  5. S

    Huyu nae ana sifa za kuwa rais wa mwaka 2015. Ajadiliwe.

    Kuwa na rais kama mengi ni bora hata tusiwe na kiongozi yeyote nchini.
  6. S

    Disemba 15, 2012 kipimo cha ujinga kwa magazeti ya HabariLeo, Uhuru na JamboLeo

    Chaga development manifesto bora isife iendelee tu kuchechemea au?
  7. S

    Somo la Katiba ya CCM kwa Nape & Co

    Sikonge,umenifurahisha sana uliposema nape mzinzi,hebu walingenishe kwanza na mzinzi mwenzie padri slaa alafu nipe jibu nani zaidi.
  8. S

    CCM chovu: Kwanini wasitumie nguvu zilizobaki kujiimarisha zaidi ya kuzichezea kubomoa CHADEMA

    Ccm haiwezi tumia muda wake kuibomoa chadema kwakuwa chadema tayari kimeshajifia,"mtu haui maiti"
  9. S

    Kamati ya ulinzi na usalama Mwanza yaamuru wabunge wa CHADEMA wakamatwe

    Sasa baba v,matusi hapo ni yapi?hivi mtu anakurupuka na kushawishi watu kufanya fujo wewe na uelewa wako unaona wapo sawa?wangesema haya waislam tungeanza kusema wahajasoma,wamesema chadema wako sawa siyo?watu wanadai kulia na kucheka zote kelele.
  10. S

    Kadi ya CCM yamponza Slaa... Sasa ashinikizwa kujiuzulu nafasi yake!

    Chadema bhana!unajua munatakiwa kujiuliza swali hili,wewe umeoa na mkeo ana picha nyingi za mwanaume,ukimuuliza ile picha ya nani anasema ya boyfriend wake wazamani ukimuuliza ni zanini kwa sasa anajibu kaweka tu kama kumbukumbu,wewe utaelewaje?
  11. S

    Kamati ya ulinzi na usalama Mwanza yaamuru wabunge wa CHADEMA wakamatwe

    Dah! Tanzania yetu sasa inakuwa ni mali ya wahuni fulani,inamaana CHADEMA wanadhani sie mabwege? Wao wanataka wao wawe dini yetu,wao wawe miungu yetu,walimu wetu wanataka watuendeshe wanavyotaka,waende Kilimanjaro wakatawale huko wehu wao.
  12. S

    Swali kwa Nape Nnauye

    Muulize haya pia Dr. Slaa,anauchukuliaje udini ndani ya CHADEMA? Anajisikiaje kuona vyeo vinatolewa kutokana na undugu ndan ya CHADEMA? Anajisikiaje kuongoza chama chenye waropokaji wasio na nidhamu?
  13. S

    Mwanachuo akamatwa akiwanga

    Nahisi anataka kufuata nyayo za wachawi wenzie kama kakobe,anton lusekelo na wengine wengi
  14. S

    Kwanini walioshindwa chaguzi ndo hupewa madaraka ya juu CCM?

    Slaa aliposhindwa upadri kanisani akapewa ukatibu mkuu wa chadema taifa na kuteuliwa kugombea urais au?
  15. S

    Mikutano ya CCM inapohutubiwa na Mkuu wa Wilaya

    Kwani chadema muna uhusiano wowote na nccr/machali?
Back
Top Bottom