Recent content by Shikanyanga

  1. S

    JamiiForums Tanzania Waliowahi kupitia dharau, manyanyaso na kusengenywa kipindi wamepigika tukutane hapa

    Hongera Sana mkuu, upo vizuri kwa uandishi! Mimi nina miaka miwili nipo mtaani mpaka leo ( am a graduate), nimepitia misoto mingi mpka leo mambo hayajakaa Sawa. Naomba connection wakuu zangu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta soko la samaki

    Habarini wakuu, Tarehe 25/1/2020 nategemea kupokea Mzigo wangu wa SAMAKI kutoka Mwanza kuja Moshi-kilimanjaro samaki ni sato na sangara wazuri na wakubwa kabsa. Naendelea kutafuta soko la samaki, Kama mtu binafsi au taasisi unahitaji naomba tuwasiliane. Napatikana Moshi, karibuni Sana wakuu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ukitaka polisi waje mtaani kwako haraka kama kuna tukio

    Kwanini mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tweet ya huyu mkenya inayomtangaza Mbwana Samatta kuwa ni mshambuliaji wa Kenya inaudhi na imejaa dharau kwa Taifa letu.. .

    Tumuache tu, Tanzanian we have no English to argue with him!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuuza Nyama (Butcher's Shop): Mambo Mbalimbali ya Kujifunza

    Hongera Sanaaa mkuu,nimependa Sana comment yako hakika unaonekana una moyo wa kusaidia watu!! Mimi pia Nina wazo la kuanzisha hii biashara week ijayo, Mimi natumiwa kutoka mwanza to Moshi. Ningependa kupata location nzuri ila bado sijapata. Mungu akubariki Sana mkuu Sent using Jamii Forums...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Ok Sawa mkuu Asante sana kwa ushauri mzuri!! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    JamiiForums Tanzania Zinaa na fahamu tano ni chanzo kikuu cha laana na matatizo ya binadamu. Nina ushuhuda

    Asante sana mkuu,upo vzr Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Walitumia mbinu gani kumpata huyo mwizi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Asante kwa comment yako mkuu,Nifundishe kuitrace mkuu!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Sizani Kama atakuwa na Hilo wazo la kubadili IMEI namba,naomba unisaidie huo ujanja wa kuipata mkuu!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    National ID ndio nini mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Hakuna namna ambayo tunaweza kujua mwizi ameweka laini ipi kwenye ile simu? Imei namba nnayo pamoja na email ya simu!! Wataalamu karibuni Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    TECNO SPARK K7 Sent using Jamii Forums mobile app
  14. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Daaaah Asante sana mkuu!! Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa simu yangu

    Asante kwa comment yako mkuu,umesema niende kitengo Cha cyber ila umesema wale wa kitengo wakiipata hawatanipa, Kama ni hyo Kuna sababu gani ya kwenda? Hakuna utalamu wa kujua huyu mwizi wangu ameweka laini ipi kwa simu yangu? Nikishaipata tu namba ya mwizi tayari mchezo utakuwa umeisha. Sent...
Back
Top Bottom