Shikanyanga
Member
- Jan 10, 2020
- 24
- 14
Habarini wakuu!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Nilikuwa msibani nikiwa na simu mfukoni ghafla mtu alinichomoa simu yangu.
IMEI NUMBER ninayo, naomba msaada kama kuna mtu anafahamu kutrace simu anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu kwenu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Nilikuwa msibani nikiwa na simu mfukoni ghafla mtu alinichomoa simu yangu.
IMEI NUMBER ninayo, naomba msaada kama kuna mtu anafahamu kutrace simu anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu kwenu!!
Sent using Jamii Forums mobile app