Tweet ya huyu mkenya inayomtangaza Mbwana Samatta kuwa ni mshambuliaji wa Kenya inaudhi na imejaa dharau kwa Taifa letu.. .

Course Coordinator

JF-Expert Member
Jul 27, 2019
1,681
3,065
Katika kutembea tembea kwenye mtandao wa Twitter nikakutana na post yenye ujumbe kutoka kwa mkenya account yake yenye jina la Abuu Sakeena aki tweet ujumbe kuwa Mbwana Samatta ni mshambuliajiwa Kenya

Kwa nini wakenya wanaendelea kutangaza vitu vya nchi yetu na raia wa Tz kuwa wanatoka katika nchi yao.
Wakiona watu ambao ni popular au wana influence kimataifa wanatangaza kuwa wanatoka katika nchi yao .

Wakiona natural resouces ambazo ni most attractive wanatangaza kuwa zipo nchini kwao..Mfano mbuga za wanyama kama Serengeti, Ngorongoro na mlima Kilimanjaro muda mrefu wamekuwa wakinufaika na matangazo hayo wageni wakifika kwao wanakutana hivyo vivutio havipo nchi kwao isipokuwa vipo Tz.

Wanaingiza mapato kwa ujanja huo na sisi tunawaangalia tu..

Njia gani ni sahihi ambayo tunaweza kuitumia kuwadhibiti wakenya hao ili kuacha udhalilishaji kwa Taifa letu ..

.Je kama Taifa tunakwama/tunashindwa wapi kuwadhibiti na kuvitangaza vivutio vyetu hadi wakenya watutangazie tena kwa kufanya robbing ya namna hiyo.

20200118_092849.jpg

Post hii inakera sana...
 
Mnakuza mambo bila hats ya sababu, kama kuna Mtanzania angemuita Mkenya yoyote maarufu Mtanzania Wakenya wangepotezea tu wala isingekuwa ishu kwao, kwanza wala hata wasingejadili.
Sio kweli..watanzania hatuna hizo issue za ku-brand vitu vya wenzetu na utamaduni huo hatujawahi kuwa nao..
Watanzania huwa tuna watu bora na vitu vya kuvutia ...hatuwez kuvutiwa na vya Kenya koz hatuoni vivutio gani ni bora kutuzid.
 
Sio kweli..watanzania hatuna hizo issue za ku-brand vitu vya wenzetu na utamaduni huo hatujawahi kuwa nao..
Watanzania huwa tuna watu bora na vitu vya kuvutia ...hatuwez kuvutiwa na vya Kenya koz hatuoni vivutio gani ni bora kutuzid.


Hoja yangu ni kwamba kwa Wakenya siyo na haiwezi kuwa ishu.
 
Wakenya wengi wanasumbuliwa na msongo wa mawazo baada ya mabepari wachache kumiliki uchumi wa nchi hiyo ikiwemo ardhi yenye rutuba, wengi wamekimbia nchi kwenda kuwa watumwa ughaibuni hasa nchi za arabuni. Jana nimeona wanaandamana kudai usawa wa kiuchumi jambo ambalo walitakiwa walifanye miaka mingi huko nyuma. Wasameheni bure manyang'au wapate angalau kitu cha kuwafariji, hata diamond, rose mhando, ali kiba, na harmonize walishadai ni wakenya....
 
Wewe tatizo lako hapa ni nn!?? Kwani akisema mbwana samatta ni mkenya ndo atakuwa mkenya kweli!?? Mbona huwa mnapoteza muda kwa vitu vya kijinga!?? Hii ni sawa na ile dhana ya ubaguzi wa rangi ambavyo watu weusi huwa tunaikuza,,lakini watu weupe huwa tukiwafananisha na nguruwe huwezi kuona popote wakilalamika.

Kule Africa ya kusini makaburu huwa wanabaguliwa sana,lkn kwa vile vichwa vyao vipo vizuri wanajua wakilalamika hilo Jambo litakuwa na maantiki wanapotezea.

Msipende sana kulalamika kwa mambo ya kipuuzi kama haya. Halafu wala hujaongea na samatta kama ana uraia wa Kenya je!??

Maana samatta inasemekana ana ana uraia wa ubelgiji..sasa aliupataje wakati Tanzania hatuna Sheria ya uraia pacha..!!?? Huenda aliomba kama mkenya ili apate uraia wa ulaya ili kupunguza masharti ya kununuliwa ligi ya premier!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe tatizo lako hapa ni nn!?? Kwani akisema mbwana samatta ni mkenya ndo atakuwa mkenya kweli!?? Mbona huwa mnapoteza muda kwa vitu vya kijinga!?? Hii ni sawa na ile dhana ya ubaguzi wa rangi ambavyo watu weusi huwa tunaikuza,,lakini watu weupe huwa tukiwafananisha na nguruwe huwezi kuona popote wakilalamika.

Kule Africa ya kusini makaburu huwa wanabaguliwa sana,lkn kwa vile vichwa vyao vipo vizuri wanajua wakilalamika hilo Jambo litakuwa na maantiki wanapotezea.

Msipende sana kulalamika kwa mambo ya kipuuzi kama haya. Halafu wala hujaongea na samatta kama ana uraia wa Kenya je!??

Maana samatta inasemekana ana ana uraia wa ubelgiji..sasa aliupataje wakati Tanzania hatuna Sheria ya uraia pacha..!!?? Huenda aliomba kama mkenya ili apate uraia wa ulaya ili kupunguza masharti ya kununuliwa ligi ya premier!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uraia unapewa tu bila hata kuomba.Mfano Kocha was Senegal ilioeenda robot fanali metsu(marehemu) walimpa uraia bila kuomba na kumjengea sanamu.
 
Hiyo mbona cha mtoto soma hii
Katika kutembea tembea kwenye mtandao wa Twitter nikakutana na post yenye ujumbe kutoka kwa mkenya account yake yenye jina la Abuu Sakeena aki tweet ujumbe kuwa Mbwana Samatta ni mshambuliajiwa Kenya

Kwa nini wakenya wanaendelea kutangaza vitu vya nchi yetu na raia wa Tz kuwa wanatoka katika nchi yao.
Wakiona watu ambao ni popular au wana influence kimataifa wanatangaza kuwa wanatoka katika nchi yao .

Wakiona natural resouces ambazo ni most attractive wanatangaza kuwa zipo nchini kwao..Mfano mbuga za wanyama kama Serengeti, Ngorongoro na mlima Kilimanjaro muda mrefu wamekuwa wakinufaika na matangazo hayo wageni wakifika kwao wanakutana hivyo vivutio havipo nchi kwao isipokuwa vipo Tz.

Wanaingiza mapato kwa ujanja huo na sisi tunawaangalia tu..

Njia gani ni sahihi ambayo tunaweza kuitumia kuwadhibiti wakenya hao ili kuacha udhalilishaji kwa Taifa letu ..

.Je kama Taifa tunakwama/tunashindwa wapi kuwadhibiti na kuvitangaza vivutio vyetu hadi wakenya watutangazie tena kwa kufanya robbing ya namna hiyo.

View attachment 1326326
Post hii inakera sana...
IMG-20200118-WA0059.jpeg


Jr
 
Katika kutembea tembea kwenye mtandao wa Twitter nikakutana na post yenye ujumbe kutoka kwa mkenya account yake yenye jina la Abuu Sakeena aki tweet ujumbe kuwa Mbwana Samatta ni mshambuliajiwa Kenya

Kwa nini wakenya wanaendelea kutangaza vitu vya nchi yetu na raia wa Tz kuwa wanatoka katika nchi yao.
Wakiona watu ambao ni popular au wana influence kimataifa wanatangaza kuwa wanatoka katika nchi yao .

Wakiona natural resouces ambazo ni most attractive wanatangaza kuwa zipo nchini kwao..Mfano mbuga za wanyama kama Serengeti, Ngorongoro na mlima Kilimanjaro muda mrefu wamekuwa wakinufaika na matangazo hayo wageni wakifika kwao wanakutana hivyo vivutio havipo nchi kwao isipokuwa vipo Tz.

Wanaingiza mapato kwa ujanja huo na sisi tunawaangalia tu..

Njia gani ni sahihi ambayo tunaweza kuitumia kuwadhibiti wakenya hao ili kuacha udhalilishaji kwa Taifa letu ..

.Je kama Taifa tunakwama/tunashindwa wapi kuwadhibiti na kuvitangaza vivutio vyetu hadi wakenya watutangazie tena kwa kufanya robbing ya namna hiyo.

View attachment 1326326
Post hii inakera sana...
Mtangaze wanyama anatoka Tz mkuu.
 
Back
Top Bottom