Du hii ni Kali wanawake wa kuoa hawapatikani kwa njia kama hii utapata wa kula bata nao tu si wa kufunga ndoa nao zaidi ya hapo komaa kumuomba Mungu wako tu yeye ndo anajua akupe mke yupi
Sasa kama huyo dada alikubali kutoa tamu mwenyewe kwa hiari yake mwenyewe maana hakulazimishwa akubali kutoa tamu Bali na yeye alikuwa na hamu faida yake ndo hiyo analalamikia nini
Hapana usipanic hata kidogo cha msingi jaribu kumuulizia vizuri na kwa upole ili uweze kupata mengi zaidi kutoka kwa mkeo na utajua kila kitu hata namba ya simu utajua ni nani alie anza kumpa mwenzake
Jamani Mimi cheti chake sijakiona kilivyoandikwa hilo jina hivyo sina uwezo/kuamini maana kuna usemi usemao usiamini ya kuambiwa heri ujionee mwenyewe au cheti chake wangekipost ili watu wote tushuhudie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.