Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
vumilia tu! ndo nchi yetu hyo
Ungepitia pitia habari muhimu za wiki iliyopita ungeelewa kuwa mitambo mipya kabisa ya kufua umeme kwa kutumia gas iliyopo Kinyerezi imekwisha simikwa na sasa inafanyiwa majaribio.
Na mitambo ya zamani inayotumia mafuta mazito nayo inabadilishwa ili itumie gas yetu, kwa hiyo tutegemee umeme kukatika hapa na pale kwa takriban miezi miwili.
Kikwete anatuwachia umeme wa miaka 20 ijayo.
Ni hatareeee
Ungepitia pitia habari muhimu za wiki iliyopita ungeelewa kuwa mitambo mipya kabisa ya kufua umeme kwa kutumia gas iliyopo Kinyerezi imekwisha simikwa na sasa inafanyiwa majaribio.
Na mitambo ya zamani inayotumia mafuta mazito nayo inabadilishwa ili itumie gas yetu, kwa hiyo tutegemee umeme kukatika hapa na pale kwa takriban miezi miwili.
Kikwete anatuwachia umeme wa miaka 20 ijayo.