Recent content by Shegynho

  1. S

    Kwa wanafunzi waliopata div 3 ya point 22 hadi 25

    Mkuu hauko sahihi hata kidogo, div three wengi sana wanachaguliwa. Hata mie nilikuwa na dvn three ya 18 miaka kadhaa iliyopita , lakini nilichaguliwa kwenda Government school Nilikuwa na B nne c mbili d moja na f moja.
  2. S

    TIA: Nyoka mwenye vichwa viwili mwenye nguvu za ajabu

    Hakika haya mambo na nyoka hawa wapo hizi ni taarifa ya kweli kabisa. Mfano mwakajuzi nilianika mpunga kijiji fulani kinaitwa mambo kipo mbarali Jirani na kijiji cha igurusi. Jioni naenda kutoa/kuanua mpunga nilikutana na kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukiona katika maisha yangu Nilikutana na...
  3. S

    Changamoto kwa HESLB : Baadhi ya wanufaika kufikiria kuacha kazi

    Issue deni litalipwaje, wewe vipi au hujaelewa
  4. S

    Serikali itoe mwongozo wa masomo hasa kwa siku ya Ijumaa

    Serikali haina dini lakini watu wake wana dini ndio maana serikali inaheshimu sana imani za watu.
  5. S

    Kuporomoka kwa elimu Tanzania: Jinsi waandishi wa vitabu wanavyowadumaza wanafunzi kifikra

    Hilo uko sahihi sana, kuna vitabu vimechapwa na Oxford press, vyenye waandishi mbalimbali na ni vitabu tofauti ni vitabu vya hivyo hovyo sana. Havifai kutumika kufundishia wala kujifunzia lakini ndivyo vilivyojaa mashuleni. Hakuna kitabu kilichochapwa na Oxford press hakina makosa,vyote vina...
  6. S

    Lipi jiji zuri kati ya Mbeya na Tanga?

    Uzuri katika nini? Tanga ni mji WA zamani sana lakini Mbeya ndio inakuwa sasa, kuna vitu tanga IPO juu zaidi lakini pia kuna vitu Mbeya IPO juu sana .
  7. S

    Nimempa mimba mke wa mtu lakini kaniambia nisiogope

    Wake WA watu wanasumbua sana, sijui hawaridhishwi na waume wao!!!!! Piga mzigo mkubwa ila kuwa makini maana yanaweza kutokea puani mwanawani
  8. S

    15% ya Bodi ya Mikopo; Sheria inasemaje?

    Hujitambui wewe, funga domo lako
  9. S

    Kuhusu utaratibu wa kurudia mtihani wa kidato cha NNE

    Utoto ulikuwa unamsumbua, ila naona mawazo yake yamepanuka sasa. Tunajifunza Kwa makosa ,hakuna anayejifunza bila kukosea hata siku moja.
  10. S

    Ukweli kwa walimu

    Haaa haaa unajiuliza swali na kujijibu mwenyewe, wewe jamaaa ni kilaza sana yaani. Jina lako kamili unaitwa nani tujue ulipata div ipi?
  11. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Uhamisho umesimamishwa hadi wakurugenzi wameambiwa wasipitishe barua za watumishi, Sasa haya matangazo ina maana hamjasikia? Labda kwa mipango ya baadae wakitangaza tena
  12. S

    Nasikia uhakiki wa vyeti vya wafanya kazi unarudiwa tena

    Wapi umeambiwa wabunge wanachaguliwa KWA kigezo cha Elimu? Hata kama hajahitimu darasa la Saba lakini anajua kusoma na kuandika anaruhusiwa kuwa mbunge.
  13. S

    Mvua nchini kote yakatika ghafla

    Nchi nzima? Wewe una data za nchi nzima au unaropoka tu, mie niliko mvua inanyeaha mno mvua nyingi sana tena kila siku
  14. S

    DODOMA: Bunge laazimia kuwa RC Dar na DC Arumeru waitwe mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka

    Hujaelewa na nadhani uelewa wako ni mdogo huwezi kumwelewa makonda alimaanisha nini. Ile ni dhihaka kwa Bunge
  15. S

    Mwanamke wa Kitanzania akamatwa na Cocaine India

    CHADEMA nawashangaa kila kitu wanapinga. Eti ni vidagaa, ninachokijua mie mhalifu ni mhalifu tu awe papa , sangara , perege au dagaa
Back
Top Bottom