Yohana Wanyange
Member
- Jul 2, 2015
- 18
- 6
Naomba kuuliza kuwa hawa wanafunzi wataenda kidato cha tano au ndo wata jiunga na chuo moja kwa moja kusoma diploma??
Naomba msaada wenu tafadhali
Naomba msaada wenu tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuhhh kazi ipoWaziri bungeni amesema form IV walio faulu 2016 no 277000 waliochaguliwa kidato cha tano no 53900 waliokuwa wamefaulu div 1'2'3 ni 99000 sasa hapo utajua mwenyewe
league ngumuDuuuhhh kazi ipo
Kidato cha tano wataenda wasiwe na hofu ila wakifika huko wakaze sio walemae mwisho wa siku waangukie kwenye 3 tena au 4 au zero kabisa,,,,,,,,,,Naomba kuuliza kuwa hawa wanafunzi wataenda kidato cha tano au ndo wata jiunga na chuo moja kwa moja kusoma diploma??
Naomba msaada wenu tafadhali
Uhakika....???DIV 3 22 wote wamechaguliwa
Wa nn mbna huekewekUhakika....???
correctKinachoangaliwa zaidi kwenye selection baada ya division ni combination km imebalance au la! Km mtu ana dvn 3 na combi imebalance, na nafasi ipo (kutokana na ufaulu was mwaka huo) anachaguliwa. Ila km combi haijabalance akatafute chuo mapema akasome certificate maana cdhani km ualimu watamchukua direct entry
Acha uzushi huo kila kitu ni zamani hakikua hiv asa kama nlkua mnapata 1 ya 8had 10 kungekua na vyeti feki au kua na PhD acyejua ngeliUlienda kucheza shule,
Utapataje div3!!!!?????watoto wa cku hz hovyo sn enzi zetu mtu umefeli no 1 ya 8 mpaka 10.....
Ukipata kuanzia 1 ya 11 unafukuzwa nyumbani...
Kweli nimeamini kale kamsemo ka "kila baba anajinadi alikua wa kwanza sasa baba wa nan alikua wamwisho"Ulienda kucheza shule,
Utapataje div3!!!!?????watoto wa cku hz hovyo sn enzi zetu mtu umefeli no 1 ya 8 mpaka 10.....
Ukipata kuanzia 1 ya 11 unafukuzwa nyumbani...
Mwambie huyoAcha uzushi huo kila kitu ni zamani hakikua hiv asa kama nlkua mnapata 1 ya 8had 10 kungekua na vyeti feki au kua na PhD acyejua ngeli
Elimu ipo O-level mkuu, advance unajiongeza tu but kiuhalisia elimu ya o-level ndio ngumu zaidi.Kidato cha tano wataenda wasiwe na hofu ila wakifika huko wakaze sio walemae mwisho wa siku waangukie kwenye 3 tena au 4 au zero kabisa,,,,,,,,,,
Kibongo bongo elimu ipo advance tu chuoni na o lev ni mteremko tu.
Mkuu hauko sahihi hata kidogo, div three wengi sana wanachaguliwa.Amna kwa aliye pata Three anaweza kuchaguliwa lakini kunakitu bahati ndio inamfanya MTU wa three kuchaguliwa