pmuta
JF-Expert Member
- May 9, 2016
- 787
- 600
Ukiongelea uzinz ,sjui uchafu mala ushoga kuwa umejaa Tanga bas itakua ujatembea ndugu,hili ni swala la kawaida miji yote ya starehe lazma ukutane na Mambo km aya,hata hata ukienda miji ya mbele ya starehe hayakwepeki lazma ukutane nayo.Bakin kwenye point ya msingi kua Tanga pazr kulko Mbeya .