We endelea kutambua hizo theory tu maisha ya mapenzi ni fumbo huwez kuwa na uhakika na yeyote hata kama yupo vipi, tunaishi kwenye mahusiano kwa Imani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Tanzania pekee? Una uhakika? Acha kudanganya watu. Kenya mbona wanafanya af unasema Tanzania pekee nadhan tatizo lako ni magufuli na sio anachokifanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa huyu alibadili dini alipoolewa na mwanaume flani mwaka fulani na akasema kuwa anataka kuenenda kadili ya maadil ya Imani hiyo yake mpya sasa sielewi ndio maadil yenyewe hayo au kasharudia Imani ya zamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani asiye na utamaduni wa kigeni? Unajua ukikubali dini unakubal utamaduni pia? So Jifunze kufikiri vizuri zaidi kabla hujaandika, sema hivi kila dini inakuja na utamaduni wake utaeleweka.
Nafikiri umechukua maana tofauti ya neno ustaarabu,ni neno pana kiasi kuna maana nyingi pia, ustaarabu au civilization ni mfumo wa kiutamaduni wa maisha ya mwanadam ambapo watu waliweza kugundua njia tofauti tofauti za kimaendeleo kijamii, kiteknolojia, kisiasa na kiuchumi, mfano ufuaji chuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.