Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
Habari zenu wandugu.
Kama unafuatilia siasa za kimataifa nadhani hukipitwa na kauli ya Rais wa Ufaransa ya kuwakejeli waafrika.Waafrika kuwa tunazaana hovyo na hatuna ustaarabu.
Pia hata Donald Trump naye alifanya vitendo vya dharau kwa waafrika kwa kitendo cha kutoka nje ya mkutano na kiti chake kukaliwa na mwanawe. Vitendo hivyo si katika ustaraabu.
KUMBE USTARAABU SI ASILI YAO.
Kwa sisi waafrika tunaona kuwa wazungu ni wastaarabu lakini ustaarabu haukuanzia kwao.Jamii zilizostarabika hazikuanza ulaya wala amerika bali zilianzia middle east.
cha utawala Makedonia ndicho kipindi ambacho ustaarabu ulinza.Ustaarabu wa kiyunani ulianza kipindi cha 338k.Kipindi cha fikra na ustaarabu wa kiyunani uliitwa"HELLENIC".
Naomba kuwasilisha kwa majadiliano zaidi.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kama unafuatilia siasa za kimataifa nadhani hukipitwa na kauli ya Rais wa Ufaransa ya kuwakejeli waafrika.Waafrika kuwa tunazaana hovyo na hatuna ustaarabu.
Pia hata Donald Trump naye alifanya vitendo vya dharau kwa waafrika kwa kitendo cha kutoka nje ya mkutano na kiti chake kukaliwa na mwanawe. Vitendo hivyo si katika ustaraabu.
KUMBE USTARAABU SI ASILI YAO.
Kwa sisi waafrika tunaona kuwa wazungu ni wastaarabu lakini ustaarabu haukuanzia kwao.Jamii zilizostarabika hazikuanza ulaya wala amerika bali zilianzia middle east.
cha utawala Makedonia ndicho kipindi ambacho ustaarabu ulinza.Ustaarabu wa kiyunani ulianza kipindi cha 338k.Kipindi cha fikra na ustaarabu wa kiyunani uliitwa"HELLENIC".
Naomba kuwasilisha kwa majadiliano zaidi.
Post sent using JamiiForums mobile app