Recent content by shayookoko

  1. shayookoko

    TANGA: Gari la Magazeti lapata ajali

    Hivi tatizo n printer au ni Nini, kwa namba technology ilivyo kuwa, haiwezekani gazeti likatsysrishwa dar, likaprintiwa mwanza,?
  2. shayookoko

    Songea: Achoma gari baada ya kumfumania mke wake

    Injini ipo, hizi gari injini yake iko chini sana, hapo juu eneo kubwa liko wazi, vox na Noah new model.
  3. shayookoko

    Suala la wafiwa kuandaa chakula kwa ajili ya wanaokuja kuzika ni utaratibu wa kupigwa vita

    Inaelekea wewe sio mhudhuriaji wa misiba, na unamgonjwa ndani kila ukimwangaliiiia unaona kabisa hapa shughuli imefika ukingoni, Sasa huna kitu ndani na huna Cha kupika Wala wachangaji huna.
  4. shayookoko

    Dar es Salaam: Polisi waua majambazi wanne na kufanikiwa kukamata silaha mbalimbali

    Kwani huyo jambazi ni Nani kwako? Kwani huyo jambazi ni Nani kwako?
  5. shayookoko

    Kwako Mzee Yusuph

    Bila pesa mjini pachungu, kuimba ndio kazi yake, Sasa ataishi vipi kwa kusoma kitabu kitakatifu tu?
  6. shayookoko

    Je, mwanao anadhurika na diapers za Moflix?

    Tahadhari gani, umekalia kuchafua biashara za watu tu, huyo mtoto wako mmoja ndie aharibu brand za watu? Et Huggies, umeajiriwa huko?
  7. shayookoko

    TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

    Sikuwahi kusikia mzee anaumwa, kilichomsibu ni Nini?
  8. shayookoko

    NMB acheni uzembe, mnachefua sana

    Sophia sio jina, ni neno mbadala la neno mteja! Kiswahili kimekuwa. Tizama kwenye kamusi.
  9. shayookoko

    Mnaotumia mikono ya kulia mjitafakari sana, nimegundua kitu...

    Akiwa left, kuchamba anatumia right hand![emoji16][emoji16], Cha kufanya hakikisha anavaa gloves! Na nyumbani vipi, wife anatumia mkono gani? Au hakuchongei matunda, kupaka siagi, nk, au nnya yake haina shida.
  10. shayookoko

    Wiki 2 za kupigania Uhai wangu dhidi ya Covid-19

    Inawezekana kabisa, hata huyu ndugu yetu angejua tokea mwanzo anasumbuliwa na Nini, Basi angepatwa na mshutuko na huenda angepoteza maisha.
  11. shayookoko

    Je, mwanao anadhurika na diapers za Moflix?

    Sasa hapo molfix inaingiaje, mpeleke mtoto hospital, acha kuaribu biashara ya watu.
  12. shayookoko

    Bomu la Petrol laja. Serikali msiseme hamjaambiwa

    Ni kweli mkuu, nimepata pale gbp mbuyuni Kama unaelekea tegeta, nimekuta madumu zaidi ya 40, nikajiuliza kulikoni?
Back
Top Bottom