wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,835
Kwa hio wewe yawezekana umefanya CBA-Cost Benefit Analysis kuliko hao wenye Co. Ya magazeti sio?Pole mno kwa wote walioguswa na ajali hii, ninajuuliza dunia ya sasa faida ipo wapi kwa wasafirishaji wa magazeti haya na wachapishaji?let's say unapeleka nakala 10,000 za magazeti kanda ya kati, mbona gharama ni kubwa mno kuliko faida na huna uhakika kama nakala zote zitanunuliwa, ni wakati wa kuja na ufumbuzi mwingine hapa.


