Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,447
- 10,785
Maeneo kadhaa Petrol imeanza kuadimika. Vituo vichache vinashuhudia watu wakinunua mafuta kwenye madumu ili kuyahifadhi majumbani. Hii imetokea baada ya bei kupungua mpaka 1500s.
Serikali mfahamu kuwa wananchi wanaonunua mafuta kwa wingi wanayahifadhi majumbani bila kufuata usalama. Yakilipuka watu wa zimamoto mjiandae kwa lawama.
Petrol is Flammable, wajasiriamali kuweni makini. Msihifadhi karibu na familia zenu, mtawakaanga!
Case study Morogoro, Msamvu!
Serikali mfahamu kuwa wananchi wanaonunua mafuta kwa wingi wanayahifadhi majumbani bila kufuata usalama. Yakilipuka watu wa zimamoto mjiandae kwa lawama.
Petrol is Flammable, wajasiriamali kuweni makini. Msihifadhi karibu na familia zenu, mtawakaanga!
Case study Morogoro, Msamvu!