naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,276
Thread Hii Imejaa Mashaka
Kwanza Inakuza Mambo Sana
Thread Hii Imejaa Mashaka
Kwanza Inakuza Mambo Sana
wakiwa wanachonga matunda tunayonunua humo majiani au mahotelini; kisu wanashikia mkono wa kulia huku tunda lenyewe linalohitaji usafi wa kina wanashikia mkono wa kushoto (na ni haohao wanapenda sana kuuita mkono wa m*vi)!
wanaweza wakabanwa na haja kubwa wakati wanachonga hayo matunda, bbasi huenda kujisaidia na kuchamba kwa kutumia mkono wa kushoto (wengi wao hawana sabuni au hawatumii kabisa kwa kutoijua au kutokana na haraka ya kukimbilia wateja). wakishamaliza hurudi kuendelea kuchonga matunda hayo kwa kuyashika kwa mkono waliotoka kuchambia punde tu huku kisu wakiendelea kukishikia kwa mkono wa kulia.
sinunui tunda la kuchongwa mimi, vinginevyo basi nijiridhishe kuwa mchongaji ni left handed!
modes msifute huu uzi tujadili kidogo suala hili muhimu kwa afya zetu!!
ni kweli
ukweli nakwambia
😁😁😁 haya bwana!Yeah ilo ndo jibu ukitaka usafi mwingi kachongeeeeh kwa mkeo uko
wanaweza kuchukua tahadhali tuDaaaah kwaiy kwa sababu ndogo kama iyo2 unataka watu waanze kuchonga matunda kwa mkono wa kushoto au?
alinde mungu tuBeing Left-handed is a gift
Nyie mnaotumia mkono wa kushoto huwa mnachambia mkono upi?
wajumbe sio watu wazuri kabisa.Ndio maana wajumbe wamekukata kura za maoni...
Mleta uzi anataka kutuvuruga tu. Analeta habari za mkono wa kulia na kushoto tena kwenye matunda pekee anasahau mambo yote yanayohusu mikono kanuni ni ile ile.
Cha msingi ni kusisitiza usafi
Akiwa left, kuchamba anatumia right hand!, Cha kufanya hakikisha anavaa gloves! Na nyumbani vipi, wife anatumia mkono gani? Au hakuchongei matunda, kupaka siagi, nk, au nnya yake haina shida.Wakiwa wanachonga matunda tunayonunua humo majiani au mahotelini; kisu wanashikia mkono wa kulia huku tunda lenyewe linalohitaji usafi wa kina wanashikia mkono wa kushoto (na ni haohao wanapenda sana kuuita mkono wa m*vi)!
Wanaweza wakabanwa na haja kubwa wakati wanachonga hayo matunda, bbasi huenda kujisaidia na kuchamba kwa kutumia mkono wa kushoto (wengi wao hawana sabuni au hawatumii kabisa kwa kutoijua au kutokana na haraka ya kukimbilia wateja). wakishamaliza hurudi kuendelea kuchonga matunda hayo kwa kuyashika kwa mkono waliotoka kuchambia punde tu huku kisu wakiendelea kukishikia kwa mkono wa kulia.
Sinunui tunda la kuchongwa mimi, vinginevyo basi nijiridhishe kuwa mchongaji ni left handed!
Kiufupi watu wa Afya ya umma hawatimizi wajibu wao,wale watu wa matunda wanatakiwa wavae vifungashio ndio wamenye.Wakiwa wanachonga matunda tunayonunua humo majiani au mahotelini; kisu wanashikia mkono wa kulia huku tunda lenyewe linalohitaji usafi wa kina wanashikia mkono wa kushoto (na ni haohao wanapenda sana kuuita mkono wa m*vi)!.
Wanaweza wakabanwa na haja kubwa wakati wanachonga hayo matunda, bbasi huenda kujisaidia na kuchamba kwa kutumia mkono wa kushoto (wengi wao hawana sabuni au hawatumii kabisa kwa kutoijua au kutokana na haraka ya kukimbilia wateja). wakishamaliza hurudi kuendelea kuchonga matunda hayo kwa kuyashika kwa mkono waliotoka kuchambia punde tu huku kisu wakiendelea kukishikia kwa mkono wa kulia.
Sinunui tunda la kuchongwa mimi, vinginevyo basi nijiridhishe kuwa mchongaji ni left handed!