Kwa serikali hii ilitakiwa tu wasome alama za nyakati, ikiwa Corona yenyewe isiyoonekana imesoma alama za nyakati sembuse hawa majambazi wanaonekana.Hawa majambazi hivi hawasomi tu alama za nyakati...?
Kwa serikali hii ilitakiwa tu wasome alama za nyakati, ikiwa Corona yenyewe isiyoonekana imesoma alama za nyakati sembuse hawa majambazi wanaonekana.Hawa majambazi hivi hawasomi tu alama za nyakati...?
Kati ya jambazi na polisi wa Tanzania, naona kama jambazi ana huruma zaidi. Angalau haonei masikini. Polisi wao wanaonea wote, uwe tajiri, masikini twende tu!Majambazi hawana huruma wanyooshwe tu.
Mbona nyie majambazi mna hoja nyepesi sanaKwahiyo uwezo wa GESHI RETU kwasasa ndio umeishia hapo KUUA TU BASSSSS dah
Hakuna cha uchunguzi, polisi wanawafahamu akina Nuru ukimpleka mahakamani anakaa miezi minne rumande kesi inatupwa hakuna ushahidi anarudi mtaani kuwasumbua raia.Uchunguzi ufanyike. Siwaamini polisi wa hii nchi. Iweje Nuru auawe na wakati alikuwa chini ya ulinzi,je mlimfungua pingu?
Tumezoea kusikia hizi taarifa lakini kuna raia wema wengi wanauawa na kuitwa majambazi yenye silaha.
Kwanini Nuru afe badala ya kuhakilisha anabaki hai kusaidia kukamata wengine? Nini kinafichwa?
Uchunguzi ufanyike.
Huoni kwamba majambazi wa siku hizi kwa kukosa akili na kurushiana risasi na polisi wanaifanya Nchi kuwa tulivu?Siku zote polisi stori zao ni hiii moja , jambazi alipokaribia wenzake aanapiga kelele kushtua wenzake.then wanakufa wore.
Kwahiyo huyu Nuru amekufa kufaje akiwa mikononi mwa polisi?Hakuna cha uchunguzi, polisi wanawafahamu akina Nuru ukimpleka mahakamani anakaa miezi minne rumande kesi inatupwa hakuna ushahidi anarudi mtaani kuwasumbua raia.
Kuna mwandishi wa ITV amekatwa bega?Kati ya hao wahalifu yule mwandishi wa ITV aliekatwa began keshapata wasiojulikana kwahiyo?
Awamu hii majambazi yenye mitutu hakunaga kesi mahakamani,kesi zipo za siasa,makosa ya mitandao,ubakaji,rushwa,makosa ya barabarani na ngono ya rushwa, ukishika bunduki bila kibali kesi itaamuliwa na mungu.Kwahiyo huyu Nuru amekufa kufaje akiwa mikononi mwa polisi?
Kwahiyo huyu Nuru amekufa kufaje akiwa mikononi mwa polisi?
kuna sehemu yoyote nimesema Nuru ni raia mwema ?kwahiyo unasema nuru alikuwa raia mwema? inaonekana we na nuru mnafahamiana sana
Nakazia...kwa mshtuko alipoona wenzie wamekufa nae akaenda kufia hospitali..a very soft and sexy deathHawakumuua. Aligundulika amekufa baada ya kufika hospitali
Kwani huyo jambazi ni Nani kwako?Sawa, point yangu ni kuwa walienda naye, na wao walikuwa wanarushiwa risasi kutoka na waliokuwa ndani, how comes waliyekuwa naye kwenye, say usafiri wao naye afe ikiwa wamejibizana na waliokuwa ndani?
Alipoonesha hiyo nyumba alipiga kelele kuwatahadharisha wenzake!Sasa mbona Nuru naye wamemuua wakati ndie aliyewapeleka kuwaona wengine, maana yake walikuwa naye kwenye gari au alikuwa chini ya ulinzi wao
ilikuaje hiyo mzee?2010 March nilivamiwa na majambazi usiku nikiwa nimelala, lilikuwa tukio la kutisha na bahati nzuri wakati huo nilikuwa peke yangu sijapata familia. Jirani aliokoa jahazi baada ya kumpiga risasi mmoja wao, alijaribu kukimbia lakini alishindwa kutokana na majeraha.
Hitimisho, naunga mkono kuuwawa kwa majambazi sehemu yoyote kwa namna yoyote na mtu yeyote wakati wowote.
Mahakama zenu haziaminikiHakuna cha uchunguzi, polisi wanawafahamu akina Nuru ukimpleka mahakamani anakaa miezi minne rumande kesi inatupwa hakuna ushahidi anarudi mtaani kuwasumbua raia.
Tafta huo Uzi upo humuhumuKuna mwandishi wa ITV amekatwa bega?