Hongera sana Kk mkubwa, Umetaja hiyo sehemu makanya umenikumbusha 2017 , nilimaliza Kaz ya mkataba hapa dar nikapata kinua mgongo wangu km 2 mil. Aise nilikua hapo Kwa kulima zao moja linaitwa ngwasha ni aina ya maharage flan hivi ya rangi nyeusi na nyeupe, nikadili na vitungu kwa mbali kule...
Daaah Ni kweli mwamba Kaisha, Mm ni dereva wa Tax Mtandao Nilimchukua Mikocheni Nilikuja Kumtambua km Ni yeye Baada ya Kuongea na simu Alooh Jamaa Amepungua sijui nn Kimemsibu
Mzee baba Usiwe na panic mm ni mwana ndoa tng mwaka jana mpk now sija fanikiwa kupata mtoto na wote wawili tumepima tupo vzr kbs hii hutokea ndugu. Nikutie moyo kuwa na subira Kila kitu kitakuwa sawa
Basi Jaribu Kwa madoctor wanao dili sana Mifupa ya kiuno pa.aoja na spinal code Ndio huleta hzio sheeda smtm kuna pingili zakwenye kiuno na mgongo huwa zina sagika huleta hayo maumiv Kaka na kupelekea korodan pia kuleta maumivu na hupelekea kupata tezi dume Kwa harka sana ngoja ni kuangalizie...
Kaka Naomba Nileleze ninavyo fahamu mm Kama ni Dereva Hilo Ni tatizo kubwa sana maana ukiwa muendeshaji muda mrefu Hiyo Hali Hii utokea, Lingine kama mkaji sana ofisini Hilo Tatizo lazima likutoke Kuna Baadhi ya Mazoezi Hupunguza kbs hayo Maumivu Au kupona km umejua mapema ni hilo. Vinginevyo...
Sijui ni mm niliyekuwa nafatalia simuliz zake Zikiwa zimeisha kbs, Tofauti na hii nimekuwa miongon na subiri na sio kwd yng. Au tupishe Bakuli la Bundle
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.