Recent content by sharif ponera

  1. sharif ponera

    Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

    Sasa mbona referii aliongeza dakika 6 na kuacha mpaka dakika 10 unataka je? Acha kulalamika kwa hoja dhaifu
  2. sharif ponera

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Inaonesha kuna watu sijyi hawajui kusoma au nii? Mtu anahoji eti mgabe mahakama kivipi wakati ushahidi upo wazi kuwa walikuwa wanataka kufunga ndoa? Au mmezoea nchi ya kitu kidogo ambayo hata ushahidi upo wazi inaunda tume?
  3. sharif ponera

    King Kiba anafunga Mwaka Leo ndani ya capital city Dodoma

    Acheni ujinga ujumbi mkubwa huo
  4. sharif ponera

    SABODO sasa ashauri fedha zibadilishwe, ampongeza Rais asema hakuna haja ya upinzani

    Sidhani kama itakuwa dawa maana itakuwa washazibadili
  5. sharif ponera

    Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

    Basi kama ndiyo huvyo wanauhusiano na kagame
  6. sharif ponera

    Tundu Lissu akamatwa na Jeshi la Polisi

    Akae lupango mpaka waache kuropoka
  7. sharif ponera

    Asili ya neno "IFAKARA"

    Kabla ya jina hilo la ufwakara palikuwa panaitwaje? Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  8. sharif ponera

    CHADEMA tumechanganyikiwa, hatujui tumesimama wapi!!

    Wakati dr. Slaa anawania urais 2010 nilikuwa muumini sana wa chadema lakini pale tu walipompokea Lowasa sijawa muumini wao kabisa na sitaki hata kuisikia
  9. sharif ponera

    Kufanya mapenzi na ndugu wa damu ni kosa kisheria

    Hiyo imetolewa kwa sababu ya umri wa mtoto angekuwa mkubwa asingehukumiwa
  10. sharif ponera

    Samia Suluhu: Tunainyoosha nchi, lazima maumivu yawepo

    Jamani hata sijamwelewa huyu mama mfano wake
  11. sharif ponera

    Inafaa Rais Magufuli atuombe msamaha raia wake sakata la sukari?

    Kwa hili alitakiwa afanye uchunguzi ktk viwanda vya sukari kama vinazalisha sukari ya kutosha au la na siyo kumlazimisha mfanyabiashara auze sukari yake aloiweka store kwani hawezi jua kwa nini hauzi la msingi ni kuongeza uzalishaji wa sukari hata wakiwa wafanyabiashara wananunua yote mwisho...
Back
Top Bottom