Inaonesha kuna watu sijyi hawajui kusoma au nii? Mtu anahoji eti mgabe mahakama kivipi wakati ushahidi upo wazi kuwa walikuwa wanataka kufunga ndoa? Au mmezoea nchi ya kitu kidogo ambayo hata ushahidi upo wazi inaunda tume?
Wakati dr. Slaa anawania urais 2010 nilikuwa muumini sana wa chadema lakini pale tu walipompokea Lowasa sijawa muumini wao kabisa na sitaki hata kuisikia
Kwa hili alitakiwa afanye uchunguzi ktk viwanda vya sukari kama vinazalisha sukari ya kutosha au la na siyo kumlazimisha mfanyabiashara auze sukari yake aloiweka store kwani hawezi jua kwa nini hauzi la msingi ni kuongeza uzalishaji wa sukari hata wakiwa wafanyabiashara wananunua yote mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.