Ni kweli ila tatizo LA wa Tz hatupendi kusoma na kudadisi mambo yanayoendelea duniani, hizo makala zimeshaandikwa sana na magazine nyingi tu hapa Africa na nje ya Africa kwamba kabila sio mcongo man, ni mnyarwanda kwa baba na mama, kuna magazine inaitwa "APARECO" hii imeeleza kila kitu, yaani hawajacha hata chembe ya the origin of JOSEPH KABILA, na watu wote wanaoandika humu JF wote reference zao ni kwenye hiyo magazine ambayo kwa Mara ya kwanza iliandikwa mwaka 2013. Hii magazine ni maarufu mpaka ikafika wakati ilibidi itengenezewe application yake vile ilikuwa ikisomwa na mamilioni ya watu wanaofuatilia maswala ya CONGO NA RWANDA. By the way anaetaka kuisoma makala hii ntaiweka hapa badae nikitulia ila imeandikwa "kithungu" jaman.
Asanteni