CHADEMA tumechanganyikiwa, hatujui tumesimama wapi!!

CHADEMA tumechanganyikiwa, hatujui tumesimama wapi!!

Huna hoja hivi unajua mazimio ya bunge yali pendekeza kwambo mitambo ya IPTL itaifishwe wapewe Tanesco? sasa mbona serikali hihi ya chama cha mapinduzi imeamua kuwapa tena pesa matepeli walewale na singasinga wao tena tatizo watanzania hata vitabu vya bajeti hatuvisomi mana jamaa wamepewa bilion 100 yani sijui hawa viongozi wa ccm nani kawaroga? Kwani Tanesco wao hawawezi kupewa hiyo pesa makabadilisha hiyo mitambo kua ya ges?
 
Unachekesha chadema wanamtetea Lugumi, Escrow Chadema imewambia wezi wa Epa warudishe Fedha walizoiba acha utoto
 
Watu wanajianzishia thread halafu mnajadili wenyewe,mkakati mpya wa kupata buku 2.
 
huu ndio uanaharakati ambao Lowasa anataka kuupiga chini. siasa za kina Mbowe na group lake ni za kiuanaharakati zile za kuchenjia gia angani. ndege imepoteza mwelekeo kama ile ya Malaysia. haijulikani ilipo mpaka sasa
Na wewe tayari buku 7 imeingia
 
Wakati dr. Slaa anawania urais 2010 nilikuwa muumini sana wa chadema lakini pale tu walipompokea Lowasa sijawa muumini wao kabisa na sitaki hata kuisikia
 
Malizia n
Ninachokisikia bungeni kutoka kwa wapinzani:-

1:- madai kua Mawaziri wa Magu hawajapewa instrument tangu wachaguliwe miezi 6 iliyopita, hivyo hawana mamlaka hata ya kumtumbua mtu.
Na aliyekiri hayo ni pm.

2:- pia hawana job description hivyo ni ngumu kuwa-asess kama wanafanya kazi accordingly ama la.!

3:- Pi hoja ya bunge live nadhani hii ni hoja ta msingi sana. Tena sana. Inaingia kwenye transparency issues. Hatupaswi kusimamiwa katika kupata habari...

Tujadili utumbuaji majipu:-

Unaposema mafisadi wametumbuliwa.

1).Nini maana ya kutumbuliwa(KiSHERIA)?

2).Unao ushahidi wa FISADI yeyote aliyetumbuliwa. ?

3).Je sheria inatutaka tuwatumbue au tuwafunge jela?

4).Fisadi gani aliyetumbuliwa?.

5).kwa mahakama ipi na KOSA lipi?

6).Kifungu gani cha sheria kinatafsiri neno "kutumbua"?

7).Je pesa aliyochukua karudisha.?
8).Je amewekwa jela?

Bila kusahahu Mama tibaijuka kasema wazi kua wanaoguswa ni dagaa.. wanatolewa kafara. Huyu ni msisiemu. We unasemaje?.


Ila nadhani bado upinzani una hoja. Tatizo bunge likiendelea kua Live. Itafahamika tu.


Pia.mambo mengine.yataendelea kujitokeza huo tuendako. Kama sukari kupanda bei nk.
Malizia na hii kama kweli wanadili na watu walioitia hasara serekali yetu iv hadi Leo nani amewajibishwa kwenye mishahara hewa, najua hakuna sijasikia mkurugenzi hata mmoja amewajibishwa zaidi ya KILANGOZZZ
 
Back
Top Bottom