Recent content by Shamwile

  1. S

    Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

    Naunga mkono hoja kwa 100%, uliyosema yote ni ukweli mtupu bila Ben Saanane kuonyesha ujasiri wa kuweka mambo hadharani, isingekuwa rahsi hawa pandikizi wa CCM kufukuzwa ndani ya CDM, na mbele ya safari wangeleta madhara makubwa naamini hata wale ambao bado wapo CDM wamepata somo zuri la aidha...
  2. S

    Ridhiwani akanusha kuhusika na tanzania loan society

    Na vipi kuhsu madawa ya kulevya uliyokamatwa nayo China ni kweli au uongo, naomba utoe ufafanuzi Bwana Ridhiwani Kikwete!
  3. S

    Tundu Lissu Hatarini Kusimamishwa kuhudhuria Bungeni

    I'm sure they cannot dare to do it! and if they reach that wicked decisions watakuwa wanajitakia matatizo makubwa kama madhara ya maamuzi yao yasiyo na mantiki yanayoelemea kwenye ushabiki wa kivyama.
  4. S

    Ndugai kuwa mkweli wote tuna macho na tumeona

    Ni jambo la kusikitisha kwa Anna Makinda na Ndugai kujifanya kwamba hawajui kuwa wanaminya demokrasia bungeni, wao wanadhani wanaitetea/kuijenga CCM lakini kumbe ni kinyume na mtazamo wa jamii kwa zama tulizo nazo wananchi wanaelewa ukweli wa mambo kwa hiyo badala ya kujenga wao wanazidi...
  5. S

    Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha akamatwa na Vijana wa chama kwa kukashifu viongozi

    Big up makamanda wa Arusha! masalia wote lazima wapukutishwe...mpaka kieleweke, sumu yote iliyopandikizwa lazima itapikwe.
  6. S

    Viongozi wa CHADEMA chukueni hatua, acheni kupuuzia haya mambo kabisa

    Naunga mkono hoja hili si jambo la kupuuzia ni vizuri hoja hii ikajadiliwa ktk vikao vya juu vya chama.
  7. S

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    Hii yote ni matokeo ya Rais dhaifu na serikali nzima kwa ujumla, walikuwa na uwezo wa kudhibiti lakini wakaendelea kupalilia na haya ndo matunda yake. very sad for sure!
  8. S

    Waraka Maalum kuhusu URAIS kwa Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA

    Bwana Molemo umefanya analysis nzuri sana kwa nia nzuri ya kuimarisha CDM, nadhani wajumbe wa kamati kuu pamoja na uongozi wa juu wa CDM wanapaswa kutoa mwongozo juu ya jambo hili kwani kudharau au kupuuza jambo hili la kila mtu kutangaza nia ya kuutaka urais itaondoa umoja ambao ndio umekuwa...
  9. S

    Askofu mkuu wa kanisa la TAG atoa tamko kuhusu chokochoko za udini

    Nashukuru sana Baba Askofu kwa ujumbe uliojaa hekima!
  10. S

    KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

    Waache wafu wazikane wao kwa wao.....
  11. S

    Watanzania tusisubiri kutafuniwa kila kitu

    Naunga mkono hoja mkuu...tupo pamoja!
  12. S

    Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

    Kwa jinsi mchakato mzima wa kuwasilisha mswaada jinsi ilivyokuwa ilikuwa ni lazima upite kwa kutumia wingi wa wabunge wa ccm, so hapa mimi sioni pointi ya Pasco kama ingeweza kufanya kazi, kutokana na uhalisia wa mazingira ya bunge la JMT ambalo linahodhiwa na CCM, wanachotakiwa CDM ni kuja na...
  13. S

    CCM sasa inahaha mbuge au diwani wake akijiuzuru au akifa!

    Naunga mkono hoja kw asilimia 100% Peoplessssssssssssssssssssss......power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  14. S

    Baada ya igunga tunahamia udiwani wa kata ya kirumba,ktk jimbo la nyamagana,mwanza

    Mimi naunga mkono hoja ila nawaomba CUF wakienda mwanza wajipange vizuri kunadi sera zao na sio kuanza kuipaka matope CDM, kwasababu igunga Hamad Rashidi alianza kuirushia madongo CDM, that is not good strategy for winning confidence from the public people are more interested on solutions to...
Back
Top Bottom