Huku upande wa Mwenge hadi Tegeta kumekuwa na zoezi la kukata umeme, naomba TANESCO waweke wazi kama ni mgao, maana kila Jumatatu, Jumatano,Ijumaa wanakataa umeme, sasa kama ni mgao si watangaze tu kuliko kukata na kurudisha umeme.
Hiyo ni kweli,babati vijijini kumpata mgombea wa chadema kwa udiwani ilikuwa mizengwe,ccm walihonga wapiga kura ili apite mtu ambaye hapendwi na anayependwa kawa wa pili imebidi watu wamwambie hawakubali muungano wa UKAWA achukue fomu ya nccr mageuzi ili yule wa chadema aliyepita kwa mizengwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.