Ipo shida kubwa sana katika kuelewa maana ya network marketing na upatu
Pia tatizo letu lingine mamlaka zimelala sana huwa wanashtuka watu wameshapigwa sana wakati mambo yalikuwa yakiendeshwa wazi wazi
Kwenye ndoa wengi tunakimbilia tu kuangalia kama mwenza anafaa au hafai.
Lakini huwa tunajipima kama sie tunamfaa huyo mtu? Ukiangalia utayari wetu.. Hapo uko kwenye mkakati wa ndoa halafu babu bado umeng'ang'ana naye.
Je si linatoa picha ya mke utakayekuwa?
Ni wazi huko mbele kutakuwa na...
Safi sana kama unayajua yote hayo unabaki na nafasi ya kufanya uamuzi juu ya nini hasa unataka then uchukue hatua.
Pia narudia tena hii biashara siyo ya kutembeza bidhaa, ni ya kujenga network na kwenye hiyo network hizo bidhaa zinamove.
Mzee nikwambie kitu hii biashara inawapa wengine hela nyingi sana lakini si kwa kutembeza ila Kila mtu ana akili zake ndio maana utaona wengine wanatembeza mie sijawahi kufundishwa hivyo wala kufanya hivyo.Na mtu yeyote a natakiwa kujiuliza unaweza kutembeza budhaa ukajikimu kimaisha?
Kabla sijaanza nilikuwa na mawazo kama yako but katika biashara kuna kitu kinaitwa referal system.... Unaomba contact za watu ambao pengine wangependa kusikiliza opportunity na mtu anakupa namba za marafiki,ndugu ama jamaa anaowafahamu.
Kununua si lazima kwenda corner bar au manzese, inategemea mtu analichuliaje kununua k.Sijaona mazingira yoyote ya kumpata nimtakaye bila kuwa na hela.Nisipokuwa na hela ntampata mwenzi lakini si uhuru wa kuchagua kama nikiwa na hela.
So ili zipu yangu ifunguke hela inahusika sana
Pale wanaoijiiita great thinker wanapokuwa mahiri kuponda mawazo ya wenzao.
Kwa uelewa wangu kipimo cha great thinker huwa kinaonekana anapokumbana na wenye mawazo machanga....kama vile mtu mzima atambulikavyo katikati ya watoto na si kwa umbo bali kwa kujua kukaa nao vizuri akijua ni watoto.
Watu mtatetea wengine lakini uwazi uko pale pale mali aliyo nayo dogo ni nyingi ambapo si tatizo hata kidogo lakini asiyekuwa na akili tu ndio hatagundua ni ya wizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.