mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
nataka nimwozeshe mwanangu cha urembo aambulie angalau fedha za kifisadi
Baada ya rostam kusalitiwa na JK, jamaa alimwaga mpunga kidogo kuhusiana na ushirika wake na Ridhiwani Kikwete katika mambo ya kibiashara hadi JK alipomuomba msamaha ambao aliukubali kwa shingo pande.
Kati ya mengi aliyoyamwaga ni Umiliki wa malori 100. Ridhiwani anamiliki malori 100 aina ya Freightliner aliyonunua marekani. Haya magari yanasimamiwa na kampuni inayoitwa Delina inayomilikiwa na David Mosha ambaye Mfanya biashara wa mafuta wa hapa mjini. Dr. slaa alipoyasema haya, ulisema ni muongo ukatishia kumshataki. sasa ndani ya CCM pia tunayasema na ushahidi tunao.
Ridhiwani tunaomba ukanushe au uthibitishe kwani unamiliki pia vituo vingi sana vya mafuta. Ukikataa, basi yale magari hayana mwenyewe.
Siku ya Kihama nakuja kuvichukua vyote hasa kwenye serikali ya Mzee mzima ULIYETAMBA KWAMBA HAWEZI KUPATA URAIS AMBAYE KWA TAARIFA YAKO NDIYE ANAYEIENDESHA HII SERIKALI NA TAARIFA ZA KILA KITU TUNAZO RIZ1.. Unafahamu namaanisha nini?
Huenda ni trilioni kadhaa,Hivi huyo dogo utajiri wake unafikia kiasi gani sasa hivi? siku hizi kila jengo mjini utasikia la Riz1! ni ukweli dogo ana mpunga wa ufisadi kiasi hicho au ndio kutokuaminiana?
Jikomboe na kodi za wavuja jasho?Maujungu.com hayatojenga. sasa mnataka Riz1 afanye nini, smart man businessman. Mawazo tegemezi jikomboe Mtanzania!
Sio majungu bali hatukubaliani na wezi hata Kenya unayosema wanashikana mashati kurudisha mali za umma!!! Hatukubali hadi kieleweke tutapiga kelele mwisho Mungu wetu atatusikia, kama huamini ngoja utaona!!!!Mtabaki majungu tu wenzenu wanaendelea na umri wako unazidi kwenda huna chochote katika maisha yako..kalaga bao.. Watz sahizi tumebaki majungu na fitina za kichadema huku wenzenu wa kenya wanashika soko lenu la Tz..mtabaki watumwa nchini mwenu... Umbea ndo umetujaa ...
tusubiri siku ya hukumu tutaona atakavyokimbilia jangwani akiwa uchi
eee bhana eee ! Si Dr slaa alipewa wiki 1 akanushe vinginevyo angeburuzwa mbele ya pilato , vipi hiyo wiki bado ?
huu ni uonevu. angeandikwa january makamba, hii thread ingondolewa lakini ridhiwani anatukanwa mchaa kweupe kila siku. mods hata nyumba ya mwamvita mnakataa, hii siyo freshi
eee bhana eee ! Si Dr slaa alipewa wiki 1 akanushe vinginevyo angeburuzwa mbele ya pilato , vipi hiyo wiki bado ?
teh teh teh. idara maelezo watakufungia na kaswali kako ka uchochezi