Recent content by semango

  1. semango

    JamiiForums Tanzania Najuta: LAPF badilikeni

    Utakua ulienda kipindi wamefiwa na Mkurugenzi wao wa idara ya utumishi na utawala ambae kazikwa siku chache zilizopita. Kwa ofisi yeyote kipindi cha kua ktk msiba kama huo huwezi tegemea huduma iendelee kama kawaida. Hata hao walijitahidi kuacha mtu/watu hata wa kuelekeza nini kinaendelea
  2. semango

    JamiiForums Tanzania Ukomo wa Mifuko Mitano Tanzania Bara ni Machi, 2018; PSPF na NSSF pekee kubaki

    Bila shaka mtoa mada either ana mapenzi binafsi na pspf au kwa makusudi kaamua kupotosha umma. Kinachopelekea kuunganishwa mifuko na kuunda mfuko mmoja wa kuhudumia watumishi wa umma ni hali mbaya ya mfuko wa pspf. Ktk kuunganisha huku pspf inaenda ikiwa na loss (negative assets) wakati lapf na...
  3. semango

    JamiiForums Tanzania Lori lagongana na gari ndogo na kusababisha kifo cha dereva Iringa

    Gari aina ya IT ni lipi hili?.....RIP
  4. semango

    JamiiForums Tanzania Namna ya kumsaidia mtu kupata mafao yake PSPF

    Duuuh pole ndugu yangu. Najua kwa kuweka huu uzi ujumbe wataupata na kwa kufuta aibu watashughulikia file lako asap. Cha msingi ni kuwapa elimu hasa vijana wanaoingia kwenye soko la ajira kua makini. Jamaa huwa wanazoa vijana na kuwaingiza kwenye huo mfuko kwa kufata mkumbo kwa kuhadaika na...
  5. semango

    JamiiForums Tanzania LAPF na Clouds FM mbona mnadanganya umma?

    Kumbe wenye akili timamu bado tupo tupo......nashukuru Kasu kwa kusaidia swala hii lieleweke
  6. semango

    JamiiForums Tanzania Toyota fielder ya 2003 inauzwa kwa Tshs 7.5m

    Wakuu nimepata kagari kengine naona haka nikauze. Ni toyota fielder ya 2003. Engine capacity ni CC 1490. full time 4WD. kako vizuri sana. nakauza kwa vile bado nimepanga kwa hiyo kua navyo viwili naona sio proper sana. ndani kasafi. kana mziki wa kutosha sana. kila kitu kina function as...
  7. semango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amenisaliti anang'ang'ania vitu vyangu

    Dai mali yako acha ujinga.wametufanya mtaji cku hizi.
  8. semango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimwenzeje huyu binti

    Mnunulie videnge vya buku 2
  9. semango

    JamiiForums Tanzania Mishahara Mipya kwa Walimu Kuanzia Julai 1 2013

    Hata kwenye ndoto haioteki!!
  10. semango

    JamiiForums Tanzania Gari Inauzwa Vitz

    wapi picha mkuu?
  11. semango

    JamiiForums Tanzania House for rent

    weka bei mkuu
  12. semango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amvumiliee??

    huyu dada lazima ajaribu kumjua huyo jamaa yake kabla hajaanza kulaumu hamjali.tumelelewa kutoka mazingira tofauti jamani.wengine mazingira tuliyolelewa hata kambi ya jeshi ina afadhali.so tafsiri ya neno "kujali" lazima itatofautiana.wengine utotoni tu unakaa mwezi hujaongea na baba wala mama...
  13. semango

    JamiiForums Tanzania NSSF haooooo!!

    kuajiriwa nduio hatua ya kwanza kuelekea kujiajiri.hakuna mtu anaanza kujiajiri bila kua na mtaji walau mdogo.mpe solution sio kumkatisha tamaa na misemo iliyo sheheni kiingereza kigumu
  14. semango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania baba na mtoto wa kufikia

    huyo binti ana umri gani?
  15. semango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msiba mkubwa

    pole sana mkuu, Mungu akutie nguvu.tuko pamoja
Back
Top Bottom