Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,428
- 1,475
Heshma kwenu wana jamvi.Ndugu yangu jana kapgiwa cmu kuwa ajiandae na oral interview ya jumatano tarehe 28.Wengne leo asubuh wamepgiwa waende alhamis ya tar 29. Bdo cjajua kama wataendelea kuita au laa.Hyo ni info fupi nloipata jana na leo .Kama kuna mdau mwenye taarifa tofauti na hii atujuze ili tuwape ndugu zetu walio mbali wanaoish USANDANGONGELE.sankyu