Najuta: LAPF badilikeni

BRAVO 2 ZERO

JF-Expert Member
Jul 16, 2013
1,175
1,189
1. Wafanyakazi wenu wana nyodo hatari

Ukiingia ofisini no customer care, yaani mteja unaonekana kama kinyesi ( hasa makumbusho) shida tupu badilikeni maisha yenu yanaendeshwa na jasho letu tunalovuja huku kwa waajiri.

2. Wafanyakazi kutokuwepo kazini

Unashida zako utaambiwa mara anaeshughulikia tatizo lako ameenda msibani, jamani misiba mnapta nyie tu? Muogopeni mungu kusingizia misiba, msijitengenezee laana zisizo na sababu.

3. matatizo kutoshughulikiwa kwa wakati

Mtu anasugua gaga kuja ofisini kwenu kwa mda wa miezi mitano kila ukienda unapangiwa tarehe, kila ukienda unapigwa tarehe as if unahudhuria clinic, sasa kama mnashindwa kutatua shida kwa wakati hapo ofisini mnafanya nini?

Matatizo yanapokuwa hayatatuliwi kwa wakati yanasababisha umaskini maana kila siku unapoteza mda kufanya kitu hicho hicho.

NB: Badilikeni, next time ntakuja na list ya majina ya watumishi ambao utendaji wao wa kazi hauridhishi. Hasa hasa ofisi za MAKUMBUSHO.
 
hivi ofisini huko serikalini.. unaweza kutoa jibu mtu kaenda msibani...na kazi isifanyike..
 
Hizo nyodo na Makidai ni ujinga tu walio nao wafanyakazi wakike katika ofisi nyingi hapa nchini.

Labda huko LAPF wamezidi

Ila hawa wanawake wakibongo washamba sana.
 
Hapo utakuta kiongozi wao wa juu ni mwanaume,maana na sisi wanaume shida yetu kutafuta ujiko kwa kina mama ili wakuone mtu poa,ila angekuwa mwanamke mwenzao usingeona huo uozo,kama unabisha fuatilia halafu ulete mrejesho...
 
1. Wafanyakazi wenu wana nyodo hatari

Ukiingia ofisini no customer care, yaani mteja unaonekana kama kinyesi ( hasa makumbusho) shida tupu badilikeni maisha yenu yanaendeshwa na jasho letu tunalovuja huku kwa waajiri.

2. Wafanyakazi kutokuwepo kazini

Unashida zako utaambiwa mara anaeshughulikia tatizo lako ameenda msibani, jamani misiba mnapta nyie tu? Muogopeni mungu kusingizia misiba, msijitengenezee laana zisizo na sababu.

3. matatizo kutoshughulikiwa kwa wakati

Mtu anasugua gaga kuja ofisini kwenu kwa mda wa miezi mitano kila ukienda unapangiwa tarehe, kila ukienda unapigwa tarehe as if unahudhuria clinic, sasa kama mnashindwa kutatua shida kwa wakati hapo ofisini mnafanya nini?

Matatizo yanapokuwa hayatatuliwi kwa wakati yanasababisha umaskini maana kila siku unapoteza mda kufanya kitu hicho hicho.

NB: Badilikeni, next time ntakuja na list ya majina ya watumishi ambao utendaji wao wa kazi hauridhishi. Hasa hasa ofisi za MAKUMBUSHO.

Utakua ulienda kipindi wamefiwa na Mkurugenzi wao wa idara ya utumishi na utawala ambae kazikwa siku chache zilizopita. Kwa ofisi yeyote kipindi cha kua ktk msiba kama huo huwezi tegemea huduma iendelee kama kawaida. Hata hao walijitahidi kuacha mtu/watu hata wa kuelekeza nini kinaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom