Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani...