Uko sawa,
Hili si mara ya kwanza kujitokeza katika uongozi wa JPM.Nakumbuka pia ilishawahi kumtokea Mh.Eng.Stella Manyanya,lakini mh Rais alimvumilia hadi akamaliza kiapo chake.
Mimi sina shaka kabisa na mh.Ndulane najua Jpm na wasaidizi wake walimchunguza kwa kina kabla na kumuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.