Recent content by Sayidaas

  1. S

    Nataka kuuacha huu mzigo wa Milioni 18 humu M-Wekeza mpaka 2030, vipi nitapata kiasi Gani wakuu?

    Nunua Ethereum mkuu mpaka December hela yako itakuwa mara mbili
  2. S

    Kwa mjazano huu wa ndugu, sahau kabisa kuitwa tajiri

    Aanzishe ratiba ya mfungo mlo ni mmoja tu kwa siku tena usiku halafu sio wa kushiba.
  3. S

    Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

    Leo umetufikia watu wa moshi bar 😄
  4. S

    Simu yenye kamera nzuri kwa bajeti ya laki4 hadi 5

    Chukua iPhone 11 plain bei 450k hutajuta
  5. S

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Hata pale babayake amemwambia akalete simu ili ampigie afande kumuuliza kama aliangalia CCTV nazan ni code alipewa ussi ili katoe tape ta CCTV maana alichelewa sana
  6. S

    Wenye mamlaka tuwaokoe hawa watoto kabla ya kutokea maafa

    Sasa hapo kuna reli njia ni kuzunguka majumba sita nazan wameona uvivu tu wakatafuta short cut muhimu hiyo njia izuiliwe kutumika maana watu wanaona uvivu kuzunguka
  7. S

    Nataka kuagiza VW Touareg V6

    Sana mkuu sema bado najitekenya siku nikicheka tuu naruka nayo
  8. S

    Nataka kuagiza VW Touareg V6

    Hivi pale CFAO zinaweza kuwa na bei gani
  9. S

    Mke mjamzito, nataka kukata bima NHIF ushauri

    Nenda NHIF pia huduma ya kujifungua inatolewa mwaka wa pili wa uchangiaji kama sijakosea
  10. S

    Naomba ushauri namna sahihi au njia sahihi ya kumsaidia ndugu yangu huyu

    Ajifunze kutengeneza pikipiki na bajaji, akihitimu mfungulie duka la spare za hiyo fani.
Back
Top Bottom