Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

Sema unajua sana mkubwa respect
Shukrani sana mkuu...

Acha tumalizane na hii Kisha tumalizie sehemu yake ya tatu ambayo ndiyo ina hatima ya maisha ya hiyo familia.


THE DARKNESS OF AN ANGEL -SIKU ZA MWISHO

Maana ndani ya familia kuna kiumbe kipya kilianza kuwatafuna... Wakati wanashtuka walikuwa wamechelewa sana 🔥

Hii collection imeshiba sana mkuu 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
 
Shukrani sana mkuu...

Acha tumalizane na hii Kisha tumalizie sehemu yake ya tatu ambayo ndiyo ina hatima ya maisha ya hiyo familia.


THE DARKNESS OF AN ANGEL -SIKU ZA MWISHO

Maana ndani ya familia kuna kiumbe kipya kilianza kuwatafuna... Wakati wanashtuka walikuwa wamechelewa sana 🔥

Hii collection imeshiba sana mkuu 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
🔥🔥🔥
 
Shukrani sana mkuu...

Acha tumalizane na hii Kisha tumalizie sehemu yake ya tatu ambayo ndiyo ina hatima ya maisha ya hiyo familia.


THE DARKNESS OF AN ANGEL -SIKU ZA MWISHO

Maana ndani ya familia kuna kiumbe kipya kilianza kuwatafuna... Wakati wanashtuka walikuwa wamechelewa sana 🔥

Hii collection imeshiba sana mkuu 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Aisee tunaelekea mwishoni wa sehemu hii ya pili mpaka sasa hatujamjua anayeitafuna familia si mchezo. Natamani kuuona huo mtifuano wa Gavin na huyo kubwa lao maana kila mapambano ya humu ndani nasoma huku nikitengeneza picha kichwani watu wakitolewa makolomeo na kuzamishwa upanga kwenye macho na anavyowapiga risasi viongozi mpaka kichwa hakitamaniki. Mbaya zaidi Gavin anakuchana kabisa kabla ya kukuua na taarifa mwenyewe unampatia😂😂
 
Aisee tunaelekea mwishoni wa sehemu hii ya pili mpaka sasa hatujamjua anayeitafuna familia si mchezo. Natamani kuuona huo mtifuano wa Gavin na huyo kubwa lao maana kila mapambano ya humu ndani nasoma huku nikitengeneza picha kichwani watu wakitolewa makolomeo na kuzamishwa upanga kwenye macho na anavyowapiga risasi viongozi mpaka kichwa hakitamaniki. Mbaya zaidi Gavin anakuchana kabisa kabla ya kukuua na taarifa mwenyewe unampatia😂😂
😅 Naweza kukuguarantee kwamba mpaka unamaliza huyo mtu hautamjua ni nani mpaka usome andiko lingine ndipo utaweza kuanza kupata majibu....

Kuhusu Gavin alikuwa mbaya sana kwenye hizo anga za ukatili ila mtoto wake alikuja kuwa nuksi zaidi ya baba yake.....

Hilo pambano wanaume walipimana mifupa haswa 🔥 🔥 🔥 🔥
 
😅 Naweza kukuguarantee kwamba mpaka unamaliza huyo mtu hautamjua ni nani mpaka usome andiko lingine ndipo utaweza kuanza kupata majibu....

Kuhusu Gavin alikuwa mbaya sana kwenye hizo anga za ukatili ila mtoto wake alikuja kuwa nuksi zaidi ya baba yake.....

Hilo pambano wanaume walipimana mifupa haswa 🔥 🔥 🔥 🔥
Lini unaweka mwendelezo mkuu? Ingefaa leo tumalizie week end kabla ya kesho kuingia kwenye majukumu tukiwawaza hawa malejendari. Ombi lakini🙏
 
Ratiba ni kesho, kama ni leo labda niweke hiyo episode ya hao wajuba wakipimana mabavu
Hakuna namna mkuu wacha tusibirie tu. Ila siupatii picha huo mtanange maana wote wanajua kutamba. Gavin anakwambia "Hajaona mtu wa kumuua kwenye dunia hii, hajazaliwa bado" na jamaa nae anamwambia Gavin kuwa "Usiku huu nakuua kifo cha mateso makali kabla sijaiangamiza familia yako"😆😆
Patamu hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom