kabsa hata mimi nasubiri hapaMkuu wangu wacha tupate elimu kwa wabobezi, i hope tutatimiza ndoto zetu
Kweli kuna jamaa jirani yangu anaiendesha ndio alikuwa ananipa storyHahahahahaha! Mkuu acha Fix basi babu
Ndio maana yakeDuuh! Basi inahitajika kuangalia Reviews nyingi za hii gari kabla ya kuitumia
Sana mkuu sema bado najitekenya siku nikicheka tuu naruka nayoebhana eeh! Kumbe tuko wengi tunaoitaka hii ndinga