Recent content by SatsAndNets

  1. S

    Microsoft Excell

    Labda kwa kuongezea ni kwamba mara nyingi inatumika kupambanua na kuchanganua data kama za hesabu ya mauzo, kodi ya mauzo na mapato. Na pia inatumika kwenye data za kimahesabu zaidi na takwimu zaidi.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Hii inasikitisha sana ila bado kuna maswali yananisumbua kichwa mpaka sasa kwa mfano hivi huyu mpigaji risasi ni kwamba alikuwa anafyatua risasi hovyo maana naona nyingine amezipiga mpaka kwenye usawa wa mlango kwa chini ya kiti cha abiria au alikuwa anataka kumlenga unyayo? Risasi nyingi sana...
  3. S

    Kampuni ya ACACIA yaipa serikali notisi ya kwenda mahakamani

    Mfungo umeisha wacha mie niende nikale kitimoto mtanijulisha wakitoka mahakamani...
  4. S

    Software Keys & Mobile Phones Unlocking Codes Zinapatikana Hapa.

    Kwa mahitaji yako ya keys software na unlocking codes za kufungua simu tuwasiliane hapa. Tunauza keys za software zote ambazo ni genuine za operating system, microsoft office package na software nyinginezo nyingi tuu. Pia tunauza unlocking code za kufungua simu za aina zote kama Samsung, Apple...
  5. S

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Acha upimbi wewe. Wadhungu uwa wana kamsemo kao wanasema, "don't shit on ur door step".. hata kama unataka kugegedwa nenda mbali hapo utamshushia mumeo heshima na wewe pia.. Nani anagegedana na co-worker wake kama kaoa au kaolewa labda itokee tuu kwa aliyekuwa singo..
  6. S

    Bomoabomoa Kibamba yapigwa marufuku na Mahakama Kuu

    Maisha bwana, wakati wa mbele analia ya kwake isibomolewe kumbe wa nyuma anafurahia ili ya kwake iwe mbele.. kumbe kweli maisha ni kama kucheza gwaride kwenye mstari...
  7. S

    Kwa niliyoshuhudia usiku huu hapa chuo, da! usishindane na mtoto wa kike

    Ukiona demu mkali ambaye kichwani hamnazo basi tambua kinachoumia ni kipapatio dogo. Piga buku utoke na maGPA makubwa makubwa tuu..
  8. S

    Mpenzi wangu kaota nimekufa

    Na wewe ungemuambia umeota umekufa pia na yeye akaolewa na mwanaume mwingine..
  9. S

    African Satellite World and Sat Gear

    Hi, What is the dish size or type that can fetch 28E for Sky UK or Eutelsat in Tanzania? Would appreciate any help. Thanks
  10. S

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Ndugu unagebuka na ngwila hapo lazima ukaongezee umasai hapo au utaumbuka mkuu. Hakikisha bao dakika 60 au zaidi lazima aungue kesho yake apumzike.. pole sana lakini..
  11. S

    Kukosea namba kwanipa msichana bikra

    Uzi huu unanikumbusha jamaa alikuwa anapewa mbuzi kagoma ukawa zone siku zote akawa anasifia msupu mnato kumbee..
  12. S

    Mambo ya muhimu kwa ma-playboy

    Jitahidi kwako usiwe na jiko wala friji na kama choo kiwe cha nje unatumia na wapangaji wenzako.. hawachelewi kujifanya ally mapilau hawa..
  13. S

    Ni kweli asali ikimwagiwa kwenye dushe halisimami?

    Sio kweli mkuu. Asali inasaidia kuongeza nguvu na stamina ya kubutua. Na inatambulika kwamba ina madini ya boron ambayo yanasaidia kuongeza uzalishaji wa testosterone wakati pia inachagia kurutubishwa kwa oestrogen. Ndio maana fungate kwa kidhungu likaitwa hanimuni kwasababu watu walikuwa...
  14. S

    Natauta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli

    Nauliza tuu hivi mapenzi ya kweli yana sifa? Niliambiwa ukimpenda mtu kweli hata awe kibogoyo wewe utamuona asali sasa nashangaa hapa.
  15. S

    Hivi inakuwaje mwanamke unakubali kuwa na lofa?

    Baba yake hata bodaboda hana halafu anajishebedua mwanamme hela! Unaniudhii..
Back
Top Bottom